The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Mkuu man u hata wangetaka kutufunga hawatoweza kwa sasa mbaya zaid ni ANFIELD

Waje kupaki bus tu hawana kingine cha kufanya
 
Mkuu man u hata wangetaka kutufunga hawatoweza kwa sasa mbaya zaid ni ANFIELD

Waje kupaki bus tu hawana kingine cha kufanya
Watawafunga kama wanataka. Ila nasikia hawataki sasa njie wachokozeni wapate hasira halafu mje mlalamike. Wamesema hawatupendi sisi tu. Ila mkiwachikoza mtaona. Njie endeleeni tu.
 
Watawafunga kama wanataka. Ila nasikia hawataki sasa njie wachokozeni wapate hasira halafu mje mlalamike. Wamesema hawatupendi sisi tu. Ila mkiwachikoza mtaona. Njie endeleeni tu.
Anfield??? Hahaha labda wavizie vizie wapige kamoja afuu wote wakalale golini
 
Leo mapema tu, nafasi ya kushinda tunayo sisi ila game ni ngumu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…