The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Wale ndugu zangu wa Arsenal na Liverpool mliohamia huku Man city mliizani mtapata faraja rudini timu zenu za zamani,hii ni EPL ,haina tofauti na familia ya kambale mtoto ndevu ,mama ndevu ,baba ndevu na bado mtapasuka sana.
 
Wale ndugu zangu wa Arsenal na Liverpool mliohamia huku Man city mliizani mtapata faraja rudini timu zenu za zamani,hii ni EPL ,haina tofauti na familia ya kambale mtoto ndevu ,mama ndevu ,baba ndevu na bado mtapasuka sana.
Hakuna shabiki wa Liverpool anayeweza kuhama timu yake
 
Wahamiaji haramu nani aliwaambia mshushe turubai?
Haya wekeni jengine, majirani tupo kuwabembeleza.
Naona mnalia msiba ilhali kule mpangaji mwenzenu anasherehekea ushindi bila kusogea alipi.
 
Gundogan sio Defensive Midfielder mzuri, sasa kati umemweka DeBruyne ambae sawa anakaba ila sio mkabaji wa kutegemea halafu unamweka na Benardo nae kati nae pia hajui kukaba


Zinchenko ndie pekee kwenye squad yote ya Cityzens anaeweza kuchukua nafasi ya Fernandinho walau unakuwa umeweka mtu
 
Jau tupu guadiora anazingua
Gundogan sio Defensive Midfielder mzuri, sasa kati umemweka DeBruyne ambae sawa anakaba ila sio mkabaji wa kutegemea halafu unamweka na Benardo nae kati nae pia hajui kukaba


Zinchenko ndie pekee kwenye squad yote ya Cityzens anaeweza kuchukua nafasi ya Fernandinho walau unakuwa umeweka mtu
 
Nashangaa fans wa timu nyngne mnavyowazodoa hawa jamaa ktka mashabik wastaarabu hawa jamaa wanaongoza huwez kuwakuta majukwaa mengne wakipayuka hovyo ..tuwape heshma yao tu huu n upepo tu kwao
lazima wazodolewe, kwanza wengi wao wamejikuta mashabiki wa man city baada ya Pep kushika kuja na moto alioanza nao.
Walikimbia timu zao za mwanzo na kuhamia huku, sasa upepo unawaendea vibaya acha wateseke...

Kanuni ya mpira ni moja tu,.Adui muombee njaa
 
Alivoumia debrune mulisema man city hamna tena. Leo tena fednandinho, hv hatujawai kufungwa akiwemo?? Mbona tumefungwa match kibao tu na yy akiwemo???

Kuhusu kufanya ligi ya babu yake nyie ndo mulikuwa mnahaha wenyew lakini kama uliwai kusikiliza speech zake sijawai kumskia akisema ivo. Ila yy anaongeaga ki-profession kabs.

Point nne sio issue, kufungwa ni kawaida kweny soka. Alifungwa akiwa Barcelona na Bayern Kwann asifungwe man city??? Na zote zilikuw timu bora Dunian enzi hizo.

Kwn man city asifungwe yy nan??? Akifungwa tu nyodo kibao.
Kwa hiyo na City kwa sasa ni timu bora duniani?

Duh kumbe na Bayern Munich ilikuwa timu bora duniani enzi hizo Pep anaifundisha!!

Ilichukua UEFA au Club World Cup?

Kwa Barca nakubali, na hiyo haikusababishwa na Pep, ilisababishwa na uwepo wa watu kama Xavier, Iniesta, Messi et. all

By the way Barca iliendelea kuwa bora hata kipindi cha Luis Henrique
 
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji3] nimeshalitoa hilo neno mkuu,
Man city sio mungu yy asifungwe ni timu kam tim zingine sema ana style tofaut ya uchezaj, mpira wa kii-spanyiola ndan ya uingereza. Cha msing point 3 muhim, namna ya kucheza ni kitu kingine.

Binafsi napenda sana jinsi timu yng inavocheza, napenda mpira wa pass spend limpira la kubutua. Yan unamfunga mtu Kwa starahe. Kwa mpira wetu mtu akijichanganya anakula sita, Saba, tano, nne... Na ndo maana tunaongoza kufunga magoli. Lkn hiyo haizuii kupoteza match km sik siyo yetu, coz kila mtu ana siku yake ya kubanwa, nawaonea huluma river siku mkibanwa maana hamjazoea... Najua kweny akil zenu mnaona hamtafungwa... Angalia ulivomfunga Everton.

Naamin man city sio timu ya kutegemea mtu mmoja km Barcelona na mess, PSG na naymar, Madrid enzi hizo na Ronaldo, Chelsea na harzard, man u na de Gea, River na Mo Sarah,.........n.k.
Ila sisi akitoka mtu mmoja watu wanaswech wanacheza kulingana na waliokuwepo na Wala pengo lake halionekani. Hata asipokuwepo fednandinho watu watasweech tu na utashangaa... Alisemwa KDB sembuse huyo, nafasi yake Gundogan anaweza akaicheza na akaimudu vzr... Kuna match nying tu tumecheza bila jamaa na tunashinda kama kawaida.....

Machi tuliopigwa pep alifanya ujinga mwenyew wa kumchezesha stones kam kiungo mkabaji, hicho ndo kulichomponza. Stones ni full back so kiungo wap na wp, alikuw hanyumbuliki in fact kilimshinda.

Mwisho ukimsema fednandinho usimsahau na DAVID SILVER. namkubal sana huyu kiumbe.
Mkuu kubali tu hoja ya bardizbah, kwa City hakuna mbadala wa Fernandinho (player who is doing the dirty work for the team)

Ukiangalia KDB pamoja na ubora wake, kuna wachezaji wengi mbadala pale City (Creative Players) ndio maana hata alivyoumia hakukuwa na udhaifu sana kwenye timu yenu

Wewe unadhani kwanini Pep alikuwa anamtaka sana Fred, alikuwa anataka back up ya Fernandinho
 
Nashangaa fans wa timu nyngne mnavyowazodoa hawa jamaa ktka mashabik wastaarabu hawa jamaa wanaongoza huwez kuwakuta majukwaa mengne wakipayuka hovyo ..tuwape heshma yao tu huu n upepo tu kwao
Hawawezi kuja kwenye majukwaa yetu maana hizo ndizo asili zao huku man city wapo kama wakimbizi mkuu
 
Ue unaelewa bas na ww nimeshakwambia city haitegemei mtu, hata kam fednandinho akiumia msim mzima tutapata matokeo.

Nikupe mfano mzr, unajua Fabian Delph natural position yake?? Na anacheza namba ngap??? Fabian Delph ni midfielder naturally, lakin anacheza kam left back(namba 3). Danilo anacheza kam Left back wakati yy ni right back, na tunapata matokeo. Na mwaka jana tumenyanyua ndoo bila kuwa na beki wa kushoto halisia.

Kwo cha msingi sio kukalili namba, watu wanaswech na mambo yanenda bro

Jana goli zimepitia kwa huyo Fabian Delph wako na red card juu.
 
Back
Top Bottom