Haahaha ni kweli ila na sisi sio wa mchezo mchezo.Jumapili ijayo mtatukabidhi EPL rasmi, Crystal palace si mtu wa mchezo mchezo
Umeanza kuchezea mpira vidoleni ety?Jumapili ijayo mtatukabidhi EPL rasmi, Crystal palace si mtu wa mchezo mchezo
Yeah unachosema ni kwel.City tukikaza kamba uwezekano wa kubeba ndoo upo pia na imani Chelsea hata kubali kugongeshwa na kuku hiyo J, pili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha kukaza wala nn, City haachi mtu mechi hizi sita za epl.City tukikaza kamba uwezekano wa kubeba ndoo upo pia na imani Chelsea hata kubali kugongeshwa na kuku hiyo J, pili.
Sent using Jamii Forums mobile app
UEFA tunaenda fainali na tunaxhukua ndoo
Jamani tupunguze mihemko lakini, maana Tot.., kumbukeni tutacheza nae mara 3 kwa maana ya kesho hapo kwake ,tarehe 17,Etihad mechi ya marudio, ona sasa tarehe 20 tu tena tutakuwa nae hapo Etihad, hofu yangu ni hii je atakubali kuwa mteja kwa game zote 3 ? Naomba kuwasilisha wakuu.Hakuna cha kukaza wala nn, City haachi mtu mechi hizi sita za epl.
Yupo na
1. Crystal
2. Tot
3. Man U
4. Burnley
5. Leiceister
6. Brighton
Crystal tunampiga 4
Tot tunampiga 3
Man U zilezile za siku zote
Burnely tunampiga 2
Leiceister runampiga 2
Brighton tunatandika za kutosha.
Sijasema mechi zote tutashinda. Kwenye Uefa wanaangalia matokeo ya mechi ya mwisho. Kama atashida mechi moja na akaachwa kwa agr.Jamani tupunguze mihemko lakini, maana Tot.., kumbukeni tutacheza nae mara 3 kwa maana ya kesho hapo kwake ,tarehe 17,Etihad mechi ya marudio, ona sasa tarehe 20 tu tena tutakuwa nae hapo Etihad, hofu yangu ni hii je atakubali kuwa mteja kwa game zote 3 ? Naomba kuwasilisha wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Palace anakaaa 4. Amini nakwambiaHaya mechi ingine niya palace tunawafuata kwao je watakubali kugongeshwa au watakomaa watoe droo! ukweli hizi game 2 hizi zina ninyima ucngizi ndo maana naombea Chelsea wafanye ya kufanya hiyo J. pili kwa hao kuku wawanyonyoe kabisa hapo ndipo imani yangu itaongezeka zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiombee mwenzako kufungwa, sisi tupambane tushinde zoteHaya mechi ingine niya palace tunawafuata kwao je watakubali kugongeshwa au watakomaa watoe droo! ukweli hizi game 2 hizi zina ninyima ucngizi ndo maana naombea Chelsea wafanye ya kufanya hiyo J. pili kwa hao kuku wawanyonyoe kabisa hapo ndipo imani yangu itaongezeka zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebwna mkuu yote yanawezekana tukiamua.Hakuna cha kukaza wala nn, City haachi mtu mechi hizi sita za epl.
Yupo na
1. Crystal
2. Tot
3. Man U
4. Burnley
5. Leiceister
6. Brighton
Crystal tunampiga 4
Tot tunampiga 3
Man U zilezile za siku zote
Burnely tunampiga 2
Leiceister runampiga 2
Brighton tunatandika za kutosha.