Mkuu aguero hakuwepo kimchezo kabisaDuh nyie mashabiki bhana, uyo aguero ndo mpiga penati siku zote hapo city leo ulitaka apige nani sasa! Ulitaka pep aote kua leo atakosa ili abadili mpiga penati??[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilo tu ndo anapokosea pep.Linapokuja Suala la Champion League Man City ajue kuwa siyo League Yake.
Aguero anaongoza kwa kukosa penalty uefa mpaka sasa ana 4Duh nyie mashabiki bhana, uyo aguero ndo mpiga penati siku zote hapo city leo ulitaka apige nani sasa! Ulitaka pep aote kua leo atakosa ili abadili mpiga penati??[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pep an overthink sana big games.Linapokuja Suala la Champion League Man City ajue kuwa siyo League Yake.
Depth ndio nani mkuu mbona unekomaa sana na hilo jina?Leo pengo la zinchenko linaonekana waziwazi.
Mtu kama depth ni wakuuza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh...man city mtaishia kupata hicho hicho kikombe cha mbuzi tu, kwa watford hulambi kitu na ucl ndo ushatoka epl atabeba liva
mechi ya uefa wanaangalia magoli na sio point, kwahiyo hapa wapo halftime. kuna second leg.Mechi ya ligi ni muhimu sana sana. Na ii ya uefa ni muhimu sana sana.
Pep eti anasema tumecheza vizuri tu nimeshanga
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeHii game ilitakiwa ianzie pale etihad ili tukienda kwao tunajua cha kufanya, ikianzia kwao ikaja kwetu wanajua cha kufanya. Ila tukiwapiga goli 4 hapo kwa itatupa njia nzuri hapo kwetu. Maana suluhu ya 0-0 hapo kwao inawapa advantage wakija kwetu, suluhu ya 1-1 hapo kwao maana yake suluhu ya 2-2 etihad tumetoka. Tushinde kwa big margin hapo kwao au suluhu ya 4-4 hapo kwao itakuwa pop.
Endelea kubwabwaja.man city mtaishia kupata hicho hicho kikombe cha mbuzi tu, kwa watford hulambi kitu na ucl ndo ushatoka epl atabeba liva
Bora man city kuliko liverpoolDuuuh...
Imeshakua hivyo tena mkuu..?
Thats suremechi ya uefa wanaangalia magoli na sio point, kwahiyo hapa wapo halftime. kuna second leg.
Sisi bado uefa tu ww bwabwaja.Duuuh...
Imeshakua hivyo tena mkuu..?
Delph sijawahi kumkubali hata siku moja. Ni ile safari ya mamba na kenge wamo.Jana tatizo lilikuwa baadhi ya wachezaji ndo wametucost.
Kama huyu delph.
Mahrez
Gundogan
Na aguero.
Sent using Jamii Forums mobile app