ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,767
- 6,575
halafu hii mijitu ya ManCity sijui vipi hii..............eti ili-appeal red card ya V. Kompany........ona sasa FA wametoa uamuzi.........kwa wasiojua/hawakucheza soccer wataona kaonewa...........lakini tuliocheza soccer tunaelewa ile ilikuwa kadi halali......
tuliona kaonewa hata huo uamuzi bado ni wa uonevu na tunawasubiria kwenye ligi hao manure..