OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Hhaha kijana wangu hongera kwa kunifunga ..kwakweli Goli la Salah linaweza kuwa goli bora zaidi kwangu japo Coutihno alilipa ..ila litabaki kuwa goli bora ..Mkuu Ollachuga habari yako hahahahahahahahah
Wameshapita bro.
Ahaa nitakuwa nmekosea mkuu ..hongereni kwa kuvuzu ..Mkuu mbona unahangaika sana kwenye majukwaa ya watu hixo timu xote zimefuxu robo ila nusu fainali ndio hazijaingia...njoo LFC TUMEKUMISS
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini Kaka uko vzr sn ktk kutabiri matokeo, maana ulitabiri kuwa Tottenham atamtoa City na ndivyo ilivyotokea Chifu[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uefa ndio itamuondoaYan Pep kubeba Uefa tena, Arud barcelona...katumia hela kibao, na shauku ya city ni uefa kubeba
Liquid hata mimi nilijua City kapita baada ya Raheem Sterling kushinda la 5 nikanyanyuka hapo hapo kurudi home kumbe goli lao lilikataliwa baada ya VAR kuthibitisha ni offside goal[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli inauma.Aisee
Pale walibeba wachezaji..Yan Pep kubeba Uefa tena, Arud barcelona...katumia hela kibao, na shauku ya city ni uefa kubeba
vitu vingine bwana unaweza ukaamini kama drake ana gundu kweli City outHellow majirani all the best pia muokoeni drake na kashfa za gunduView attachment 1074477
Pole sana
Ila spurs wlikuwa na bahati kwao
Pep anajifanya anajua sana kila kituMliyataka wenyewe.. Its started with the 1st leg
Hapana mi nimefurahi sana kumwona Mbaguzi Mkuu wa rangi nyeusi toka Afrika/Pep Gadiola akitolewa kwenye hiyo michuano Chifu[emoji28][emoji56]
Jama hatupendi kabisaaaa.Nikajua unasononeka kisa sity