The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

spurs-10-sterling.jpeg
 
Tafadhali nakuomba uhamie Ajax Chifu
Ajax utoto mwingi.
Wanacheza sana ila hawajapata timu ya kuwafunga nyingi. Spurs kwa mchezo wao wa hv karibuni inatishaaa pale mbele huwezi kushambulia tu .
Sasa ajax muda wote wanafunguka itakuwa game tam
 
Final nikiangalia angalia naona
Liverpool na spurs
 
Umechambua vzr sana Chifu
Mimi bado namuamini ni kocha nzuri, ni kocha bora kabisa mwenye uwezo wa kutimiza malengo yetu. Kikubwa tuwe na moyo wa Subira na tusitake vitu vitimie kwa muda tunaotaka sisi.....

Hakuna timu isiyofungwa wala hakuna timu isiyotolewa kwenye michuano. Kutolewa CL kusitufanye tusahau wema na mazuri yoye ya Pep, japo ni kawaida ya binadamu kuangali makosa tu ila tusisahau zile sifa kede kede tuliokua tukimmwagia kocha wetu.....

Tulivyopangiwa Tot watu walionekana kumdharau ata humu ndani kuna kauli zilionekana wadau wakisema wanamtaka ata Barca, japo huwa kuna kauli nyingine za kishabiki ila nilisema humu bado hatupo sawa kuvaana na timu kama Barca ila niliwaudhi watu wengine wakaniita mamluki.....

Tot ni timu kubwa tusijisikie vibaya kututoa kwenye CL, hapa tusubiri msimu ujao ila kikubwa bado tunanafasi ya kuendelea kupambania EPL na FA CUP tunaisubiri kukipiga final....
 
[emoji1] [emoji1] city timu inayochukiwa zaidi ulimwenguni.
Yan tunachukiwa mpaka spain
Mpaka france.
England ndo usiseme.
But this is our age.

We may not take UCL but not other trophies
 
Mimi bado namuamini ni kocha nzuri, ni kocha bora kabisa mwenye uwezo wa kutimiza malengo yetu. Kikubwa tuwe na moyo wa Subira na tusitake vitu vitimie kwa muda tunaotaka sisi.....

Hakuna timu isiyofungwa wala hakuna timu isiyotolewa kwenye michuano. Kutolewa CL kusitufanye tusahau wema na mazuri yoye ya Pep, japo ni kawaida ya binadamu kuangali makosa tu ila tusisahau zile sifa kede kede tuliokua tukimmwagia kocha wetu.....

Tulivyopangiwa Tot watu walionekana kumdharau ata humu ndani kuna kauli zilionekana wadau wakisema wanamtaka ata Barca, japo huwa kuna kauli nyingine za kishabiki ila nilisema humu bado hatupo sawa kuvaana na timu kama Barca ila niliwaudhi watu wengine wakaniita mamluki.....

Tot ni timu kubwa tusijisikie vibaya kututoa kwenye CL, hapa tusubiri msimu ujao ila kikubwa bado tunanafasi ya kuendelea kupambania EPL na FA CUP tunaisubiri kukipiga final....
Man city hamna kitu, miaka mitatu na uwekezaji wote huo mnakuwa wa kusuasua tuu na kuishia Robo fainali, Guardiola ni looser sana, mbwembwe nyingi lakn mwisho wa siku unalamba mchanga, gori tatu unapigwa home hii inaonyesha timu haijabalance.. amebase kweny Attacking mmiddfld na striker , na kujisahau kwenye Defending mdf na defender, ndo mana walikuwa wanakatika sana na kuwapa tottnham nafas ya kustrike freely...
Nafkri utashangaa sana utakavyoona City analoose na Epl, labda kombe la mbuzi FA ndo atapata.....tengeneza timu ya kuchukua vikombe na sio entertainment
 
Jumamosi Spurs ananyooshwa, anyooshwe

Kweli amepata matokeo jana (niliyoyafurahia) lakini Spurs ana nafasi ndogo sana ya kumpiga City ugenini
Tatizo sio ugenini.
Tatizo hasira.
Alaf sasa pep kukubali kuzingua mechi tatu ni aibu .
 
Back
Top Bottom