interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
So inawezekana kukosekana kwa Harry Kane ndiko kulikoleta chachu ya ushindi toka kwa Tottenham mechi ya jana Chifu[emoji848]Pale nilitabiri kiushabiki zaidi, ila pia Spirit ya Tottenham game 1 iliniaminisha kwamba wanaweza kukochafua, hasa ukichukulia kwamba Harry Kane hayupo, hivyo hakuna mtu wa kumkaba maalum.
Unajua jaamaaa SON anataka aionyeshe spurs kwamba anajua kumzidi kane.So inawezekana kukosekana kwa Harry Kane ndiko kulikoleta chachu ya ushindi toka kwa Tottenham mechi ya jana Chifu[emoji848]
Mimi bado namuamini ni kocha nzuri, ni kocha bora kabisa mwenye uwezo wa kutimiza malengo yetu. Kikubwa tuwe na moyo wa Subira na tusitake vitu vitimie kwa muda tunaotaka sisi.....Kweli inauma.
Sema jana nililala vzr tu baada ya kujihakikishia NIVIGUMU KUSHINDA UEFA TUKIWA NA PEP"
ANAOGOPA SANA na hajui kudefend big mechi wakat anashambulia. Game ya kwanza ndipo alipozingua.
Pep anatakiwa amuige klopp kitu kimoja. 'Kila game kazi kazi" ushindi must. Yeye analeta dharau uefa. Pia mtu wa analysis hatuna kabisa.
Uefa kwa pep ni mtihan sana.
Mm sina hofu na epl akili zake huwa zinakaa sawa.
Ila uefa labda tumpate mtu kama pochtno
Davet inabidi ayo mawili sasa tuweke kapuni.Mimi bado namuamini ni kocha nzuri, ni kocha bora kabisa mwenye uwezo wa kutimiza malengo yetu. Kikubwa tuwe na moyo wa Subira na tusitake vitu vitimie kwa muda tunaotaka sisi.....
Hakuna timu isiyofungwa wala hakuna timu isiyotolewa kwenye michuano. Kutolewa CL kusitufanye tusahau wema na mazuri yoye ya Pep, japo ni kawaida ya binadamu kuangali makosa tu ila tusisahau zile sifa kede kede tuliokua tukimmwagia kocha wetu.....
Tulivyopangiwa Tot watu walionekana kumdharau ata humu ndani kuna kauli zilionekana wadau wakisema wanamtaka ata Barca, japo huwa kuna kauli nyingine za kishabiki ila nilisema humu bado hatupo sawa kuvaana na timu kama Barca ila niliwaudhi watu wengine wakaniita mamluki.....
Tot ni timu kubwa tusijisikie vibaya kututoa kwenye CL, hapa tusubiri msimu ujao ila kikubwa bado tunanafasi ya kuendelea kupambania EPL na FA CUP tunaisubiri kukipiga final....
If you can't fight us join usBaada ya kutolewa nimehamia spurs kwa muda uefa
Kwa uefa.kumlinganisha pep na pochetino ni dharau
hahaha mkuu wameshinda ndio ila hawajafuzu [emoji3][emoji3]Hakika Mungu ni wa wote maana naskia Pep alitamba kuwa Tottenham hatatoka Etihard kivyovyote vile itavyokuwa ni lazima tu Man City itashinda leo, naona Mungu kamuumbua "vise versa is true"[emoji3][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Game ya spurs na ajax itakuwa nyepesi sana kwa spurs tofauti na watu wanavyofikiri.If you can't fight us join us
[emoji23][emoji23][emoji23]
vitu vingine bwana unaweza ukaamini kama drake ana gundu kweli City out
Nikajua unasononeka kisa sity
tafuteni ile comment yangu ya timu zote za kutoka Manchester hazitafuzu robo fainali uefa, nakumbuka nilisema apa
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize alikuwa wap muda wotehahahaha mkuu baada ya man u na man city kukubebea msalaba wako ndio umejitokeza
Tuseme Inshaalah mkuu maana mpira huwa una matokeo ya kustaajabisha wakati mwingine...Davet inabidi ayo mawili sasa tuweke kapuni.
Maana EPL ni ya kwetu tu
Mimi sina tatizo na City bali uwepo wa Pep tu pale ndipo kunakonikereketa roho, kwanini atuchukie Waafrika kama sisi alituumba true[emoji848][emoji57]Jama hatupendi kabisaaaa.
Sijui anashabikia wap duu
Ii kali sasaTuseme Inshaalah mkuu maana mpira huwa una matokeo ya kustaajabisha wakati mwingine...
Kumbuka hii
View attachment 1074681