The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Anashangilia vipi mpk wamchukie?
20190418_003238_rmscr-1.jpeg
Hivi
 
Chuki zinakuja kwa sababu ya ubora wa mchezaji.

Ni wachezaji wachache sana ambao ni bora wanaopata kupendwa na watu wengi.

Mfano Messi, Ronaldo De Lima, Ronaldinho, Kaka, nk ni wachezaji ambao unapokutana nao hata wakikufunga unaridhika.
Nikweli, au ubovu wa mchezaji ila hii inatokea pale mchezaji husika anacheza katika timu unayoishabikia
 
[emoji3][emoji3][emoji3]Yan tayar mshaanza kutafutana.....kwahy saiv pochtno aje city et!! Lazima kikuuume mana msimu uliopita tot hakufanya usajili hata mmoja and yet kafika hapa, hata kama ni VAR lakin walipambana kuhakikkisha magoli hayazid...VAR ina sehem yake lakin kam timu walipambana wasifungwe zaid

Mkuu amesahau ya kwamba VAR iliwapa penati mchezo wa kwanza na wakakosa, Ni kweli Aguero alikuwa offside kabisa, sas sijui walitaka washinde tu na offside hyo, hakuna movement ya mkono wa lorriente iliyoelekea mpira, ila mpira ulielekea kwenye kiuno na kiwiko cha jamaa...akatia kamban

Tottenham timu ambayo haijafanya usajili kwa msimu uliopita wakat benchi la Manchester city tu lilicost zaidi ya pound 700 million...

Totenham wameenda semi kwa uhalali kabisa, na hakuna upendeleo

Offside ya Aguero

images (6).jpeg
 
Game mezani city vs spurs.
Je pep atakubali atolewe na timu moja michuano mi2
 
Na kama pep akitolewa leo basi inabidi tumchukue kocha wa ajax
 
Na kama pep akitolewa leo basi inabidi tumchukue kocha wa ajax
Mbona sio wavumilivu nyie?😂😂😂
Na wasiwasi kuna timu mlikuwa mnashabikia mkahamia City kutokana na mafanikio yao.

Mbona naona mnashinda kabisa hizi game mlizobakiza.
 
Back
Top Bottom