The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Muongezeeni de gea salary avute angalau 450000 vinginevyo atafungwa magoli ya kila namna kiunoni n. K
 
Unatapatapa sana mkuu...........Barcelona upo .........Manchester United upo........Cheers upo.........Tukuweke kundi gani.
Chelsea chama kubwa mzee baba ..Barca nipo kitambo tangu tunawatoa uefa, Uko kwengine niko kama mamluki tu ..kinachotakiwa ni nyie msibebe kombe lolote lile..
 
Majirani zetu nini kimewasibu baada ya dogo mzee kupewa mkataba?
Kocha anaogopa wachezaji sana.
Yan ukimtazama ni mtu ambae hashahili ile nafasi.

Ila man u wakimpata eriksen,dybala,na namba tisa. Mbele pale kutanoga.
Kati na nyuma pia marekebisho ya kutosha.
 
FT. Eveton 4-0 Manchester United.

Mmecheza mpira mbovu, na hiki kipigo mmestahili kabisa.
 
Nilishasema kila mtu ashinde game zake zote zilizobaki kuombeana dua mbaya haifanyi kazi
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] maji yaliwafika puani
Tofauti na Liver sina timu nyingine ninayoitazama kwahiyo matokeo yeyote kwao hayana manufaa wala hasara upande wetu, mchawi Liver tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…