The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Kwakwel hatuhitaj namba 9
Huyo felix na jovic tuwapotezee
 
Mechi ya city na utd wala syo ya kuigopa, city anashinda hapohapo OT na kma unataka pesa ya balimi tia pesa kwa city
 
Mechi ya city na utd wala syo ya kuigopa, city anashinda hapohapo OT na kma unataka pesa ya balimi tia pesa kwa city
Yeah io ni kweli.
Kesho mapema tu tupate goli la ugenini
 
Wacha city tutumie pesa kujenga timu.
Maana hakuna timi inayojengwa kwa kujitolea wachezaji.

Chelsea wametumia kiasi gan, man u kiasi gan,liverpool kiasi gan barca vp madrid na psg.
Wivu bwana mbaya sana
 
Ebwana eriksen ni mtu .
Anajua balaaa. Goli alilopiga leo atar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…