Yeah io ni kweli.Mechi ya city na utd wala syo ya kuigopa, city anashinda hapohapo OT na kma unataka pesa ya balimi tia pesa kwa city
Mimi ni shabiki wa Man UTD,Ila kwa siku ya leo nipo man city.Mechi ya Leo naihofia kweli yani pep akizingua anapigwa
Imagine tunadraw mtakavyofurahiTutawafunga tu, OT hatoki mtu salama.
GGMU (sijui nimepatia!)