Ushapataa link!?
Liverpool wanajifanya hawajui kwamba mnacheza na timu ambayo mnaishabikia πππππ
Wanaleta changamoto nzuri ila wamesahahu wanagame na wolvesMajirani kweli mlihitaji Top 4 kwa udi na uvumba ila hatuna namna kwetu huu ubingwa ni mhimu zaidi kuliko nyinyi kuwa top 4.asanteni kwa kushiriki tutawapa kadi ya mwaliko siku tunakabidhiwa huu ubingwa.[emoji120]
Anapiga basi tam sana.Huyo dogo ni mtu, akishakuepo hapo me huwa sina mashaka kabisa
HahahhaView attachment 1080323Wapinzani wanasema mapenzi yao wameyahamishia kwa Burnley na Leicester city
Upinzani mzuri sana wa mwaka huuWolves watakuwa Anfield, most likely ubingwa utakuwa umeshaamuliwa.
Maana ikitokea tunaenda final game kwa nyie kuwa mbele kwa hii point, Brighton mtamfunga tu, nahisi sitaangalia game siku hiyo. Itakuwa majonzi sana.
I rememberBrighton anaweza kukaza kama alivyokaza QPR ule msimu Aguero analeta ubishi dk mbaya ndoo inakuja Etihad
Ila mwaka huu haiwezekan kitu kileNakumbuka ile 2011/2012 kitu kama.
Nakweli mmewakomeshaUshabiki wa muda tu,hatutaki kuwa daraja lao
Nakweli mmewakomesha
Ulikua katika wakati mgumu maumivu yasingeweza kukwepeka maana ata mngeshinda lazima mngeumia tuMmmh ila maumivu tumeyapata ya kutosha
Ulikua katika wakati mgumu maumivu yasingeweza kukwepeka maana ata mngeshinda lazima mngeumia tu
Nikweli lakini hamna ubora wa kushiriki UCLBado tungefurahi,tungefufua matumaini ya UCL
Nikweli lakini hamna ubora wa kushiriki UCL
πββοΈπββοΈ
Naona Manyua wamekuchinjia baharini kabisa bila hata huruma kwa kujitoa muhanga wa kugongwa 2-0 na kuwa tayari kushiriki futuhi ili usibebe kombe la epl Chifu[emoji848]Nakumbuka ile 2011/2012 kitu kama.
Wolves watakuwa Anfield, most likely ubingwa utakuwa umeshaamuliwa.
Maana ikitokea tunaenda final game kwa nyie kuwa mbele kwa hii point, Brighton mtamfunga tu, nahisi sitaangalia game siku hiyo. Itakuwa majonzi sana.
Kumbe ulikuwa ukifurahi usoni lkn unalia rohoni kwa matokeo ya mechi ya Jana[emoji848][emoji28]Come oooon city [emoji28][emoji28][emoji28][emoji24][emoji24]
Pole sana Chifu, lkn Mungu anaweza kuwa upande wenu UEFA CHAMPIONS LEAGUE ukashangaa mnampiga Barca na kutinga fainali kisha kushinda na kutwaa kombe kubwa kuliko la epl.