The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Kupambana wanapambana sana
 
Yeah kile kiasi per game japo kinapanda kila hatua
 
Nilisikia laliha nao wapo juu kwa mkwanja wa ligi hivi ni kweli
 
Nilisikia laliha nao wapo juu kwa mkwanja wa ligi hivi ni kweli

Kiasi lakini hawafiki hata 70% ya EPL.

Miaka ya karibuni wamefanya mabadiliko ili broadcasting revenue izifikie hata zile timu za chini tofauti na zamani mgao mkubwa ilikuwa ni Barca na R Madrid.
 
Kiasi lakini hawafiki hata 70% ya EPL.

Miaka ya karibuni wamefanya mabadiliko ili broadcasting revenue izifikie hata zile timu za chini tofauti na zamani mgao mkubwa ilikuwa ni Barca na R Madrid.
Jamaa per msimu wanachukua zakutosha zile club mbili kubwa
 
Kiasi lakini hawafiki hata 70% ya EPL.

Miaka ya karibuni wamefanya mabadiliko ili broadcasting revenue izifikie hata zile timu za chini tofauti na zamani mgao mkubwa ilikuwa ni Barca na R Madrid.
Inamana timu kama liverpool ukiacha kukosa uefa mwaka jana ila watakuwa wameingiza mkwanja wa kutosha wa hizi broad....
 
La Liga 2017/18



Mtu wa kwanza La Liga alipata €150 ambayo ni sawa na £130 (Man City EPL ana £150).

Mtu wa mwisho La Liga ana €62 sawa na £53.7 (wa mwisho EPL ana £93).

Hapo utaona ni kwa kiasi gani EPL kawapita La Liga kimapato.

Exchange Rate: £1 = €1.155, current rate.

goswe na strongestbeliefsecret.
 
Ok...
Apo nimekupata mm nilizingua kitu kimoja.
Siku convert izo pesaa.
Sasa uu uchambuzi nimeupata vzr.
Kulingana na apo kweli epl wana earn more.
 
Ok...
Apo nimekupata mm nilizingua kitu kimoja.
Siku convert izo pesaa.
Sasa uu uchambuzi nimeupata vzr.
Kulingana na apo kweli epl wana earn more.

Total La Liga ni €1,850m = £1,602m
Total EPL ni £2,419m

Tofauti ya zaidi £800m.
 
Na hii uefa inaonyesha kama timu za epl zikiishia kati broadcasts wanaingiza kidogo.

Uzuri mara nyingi kwenye Broadcast contract inakubaliwa mapema, unakuta kuna variations kidogo tu ambapo inategemea na timu zilikofika + soko la timu husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…