Ile game na burnley niligundua wachezaj walikuwa na pressure sana.
Isitokee kesho wanaweza kupoteza point
Leicester ni tim nzuri.
Alaf ubaya yupo kwenye form nzuri
Ushindi mwembamba nadhani ni kutokana na tim pinzani kubana na kupaki basi bila ata kutaka kushambulia.Man City wanafungika sana sema tu basi, maana ata ukicheki kwa hizi gemu zao kama nne za hapa mwisho mwsho za EPL wameshinda kwanushindi wa kuchechemwa sana tena ushindi mwembamba kishenzi, naamini kesho wanadrop point au wana suluhu.
Hahahha sasa mkuu ubaya timu sio ya mtu mmoja.kumbuka pia kuna Brendan Rodgers yule ni Liverpool damu, lazma haarobu kitumbua cha Man City.
Hahahha sasa mkuu ubaya timu sio ya mtu mmoja.
Mm naamin kesho wanaenda kuforce mapema lipatikane goli ata dakika ya 8.
Alaf waanze kujimwaga
Citizen io ipo wazi hamna namna.watu gani unaamini wataforce kati ya Foxes and Citizen?
Citizen io ipo wazi hamna namna.
Game inaumuhim sana kwetu kuliko kwa leicester
Ubaya hawan kitu cha kupoteza
We jamaa nilikuwa najiuliza sana kumbe ni mshabiki wa Manchester city ndio maana hujui mpira.Mim naamin leo tunashinda, tukianza na ule moto kama wa totnhum, tutawapiga goli nyingi sanaa kipind cha kwanza
Cha muhimu gardiola asiiogope hii match aanze na mashambulizi tu
Uo ni ukweli.Mim naamin leo tunashinda, tukianza na ule moto kama wa totnhum, tutawapiga goli nyingi sanaa kipind cha kwanza
Cha muhimu gardiola asiiogope hii match aanze na mashambulizi tu
Mkuu tengua kauli.We jamaa nilikuwa najiuliza sana kumbe ni mshabiki wa Manchester city ndio maana hujui mpira.
Mechi ya leo ngumu sana kwakweli