The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Mm nishaanza kufikiria msimu ujao nan atakuwa mpinzani wangu maana nawez kubeba ndoo mara tatu mfululizo.
 
Mm nishaanza kufikiria msimu ujao nan atakuwa mpinzani wangu maana nawez kubeba ndoo mara tatu mfululizo.
[emoji12] [emoji12] na mwakan liverpool inasambaratishwa.
Wataanza upya kujengaa ushindan
 
Jamaa zetu walijifanya wanakaubabe sasa kinachowapata saa hii toka kwa Ajax usipime [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
City tunamengi ya kujifunza uefa.
Laa sivyo hatutakaa tuinuse hata fainal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…