The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Hana lolote zaidi ya mahaba yako tu, Kocha yupi aliyeilamikia VAR sana ktk UEFA zaidi ya PEP KIPARA[emoji848][emoji23]

Mahaba ni ugonjwa mbaya sana kwa anayejielewa kiakili[emoji1787]
Mimi nina Kombe wewe una maneno mingi, endelea tu hivyo sisi mbele kwa mbele.
 
Kama guadiola asingekuwepo city timu za england zisinge improve kiasi hiki.
Heshima kubwa kwa guadiola kiasi kwmba timu za epl zinashiriki fainali zote mbili za ulaya.
Next season naona epl ikiwa ngumu zaidi.
Timu kama arsenal,chelsea, ziki improve zaidi
 
PEP simjui zaidi ya mapesa mengi tu yaliyomuweka pale City, timu ipi imetumia pesa nyingi sana kusajili na kununua wachezaji wengi zaidi ya City pale UK tangu aje huyo Pep Kipara[emoji848][emoji41]
Ndiyo nakubali tangia aje katumia zaidi ya £500 lakini na vikombe unaviona.


Klopp katumia zaidi ya £450 lakin ulizia ana kikombe kipi kama sio cha kunywea chai tu.
 
Hapo Chelsea itoe tafadhali maana hakuna ilichoimprove zaidi ya kujituma kwa wachezaji wake wenyewe kwa mpira wa kipumbavu wa Sariball
 
Hahahhaha .
Chelsea wana kikosi kizuri kocha mtihan labda watambadilisha
Thubutuuu... Tangu Abrahamovich azinguliwe kisiasa naona hadi moyo wake umevunjika kujikita kimapenzi hasa na Chelsea kuliko enzi zile akihamasika kumtetea Schevichenco awe mchezaji ktk 1st 11 squard ya Chelsea.
 
Nadhan sasa ni muda wa kuivizia uefa
Muda upo tu kiongoz, ila huu mwaka tulikosea kidogo sana.

Penalty miss ya Aguero plus kikos dhaifu cha mech ya kwanza dhid ya Tot ilituangusha.
 
Sina shida kabisa na City ila tatizo ni hilo libaguzi lenu kuu la rangi "Pep Kipara"

Goswe ananielewa vzr sema labda ww ndiwe hunielewi vzr tu.
Unafikir tofaut ya Liverpool na City kwenye matumiz ya hela ni kubwa?


Kinachowapa faraja ni historia zenu za kugugo ndiyo maana mnavimba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…