The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Idadi ya watu wanaoichukia City inazidi kuongezeka sambamba na wale wanaoipenda..!
Kuna jamaa wa utd alitaka kuhama alaf akachagua l'pool haahahha.
Nikaona jinsi gan hatupendwi.
Maana utd na l'pool ni wahasimu ila sasa uhasimu umehamia kwa city
 
MANCHESTER CITY FA CUP WINNER 2019

thanks lord


100 years #makehistory


cityzen chairman am here

#thankspepβ™‘β™‘
 
Nimefurahishwa sana na de bruyne leo.
Kutoka kwenye majeraha mpaka ku perform namna hii.
One goal two assists.
Na ile moja zingekuwa saba
 
Stones nae bado kdg iwe 8
Guadiola akamkabidhi dimba.
Mpira uliopigwa leo ni mkubwa sana.
Uzuri wa jesus ni kwmba beki zinamdharau alafu anawafunga.
Aguero wanamuogopa sana na wanapaki basi la kutosha.
 
Nikweli yupo vizuri sana atafaa
Msimu huu liverpool alicheezea sana.
Man tulikuwana shida sana na majeruhi ya nafasi muhimu kama pale kisimani.
Na playmaker.
Ila sasa msimu ujao itakuwa kama msimu uliopita bila shaka.
 
Msim ujao apa mahrez apa bernado,apa kdb.
Sub akutoka aguero ,jesus.
Merndy/zinny. Watoto wakina garcia ndani .
Itakuwa balaa sana.
 


Txiki.
Football director.
Huyu mtu asisahaulike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…