The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Stones nae bado kdg iwe 8
Guadiola akamkabidhi dimba.
Mpira uliopigwa leo ni mkubwa sana.
Uzuri wa jesus ni kwmba beki zinamdharau alafu anawafunga.
Aguero wanamuogopa sana na wanapaki basi la kutosha.
Hivi kwanini Stones alikuwa hapati namba hivi karibuni..?
Jamaa ndio beki ya kati ninayemkubali ndani ya Man City..!
 
Wakuu nadhani liverpool tunaenda kukutana nae,
Mimi najiuliza wametumia kanuni gani kutukutanisha na Liverpool ngao ya jamii..?
Maana nijuavyo mimi ngao ya jamii huwa inamkutanisha bingwa wa Ligi kuu na bingwa wa FA..!
Kwanini Liverpool na sio Watford..?
 
Jamani mi pamoja na kukusanya hivi vikombe moyo wangu bado unamaumivu ya kukosa UCL.
 
Jamani mi pamoja na kukusanya hivi vikombe moyo wangu bado unamaumivu ya kukosa UCL.
Kweli kabisa mkuu, nadhani guardiola na yeye hajafurahi sana

Ndio maana hata ushangiliaji wa yale magori, ukimwangalia vzuri utagundua, lile kombe kwake ni la kawaida mno, hakuwa na morali kivile , lengo lake ilikuwa uefa,


But, pamoja na yote hayo kaacha historia ya kubeba makombe ya ndani yote
 
Mimi najiuliza wametumia kanuni gani kutukutanisha na Liverpool ngao ya jamii..?
Maana nijuavyo mimi ngao ya jamii huwa inamkutanisha bingwa wa Ligi kuu na bingwa wa FA..!
Kwanini Liverpool na sio Watford..?
Hahahha sasa hao mabingwa wawili wote ni city.
Kwaio tusingecheza ma watford tena ngao ya jamii.
Ila hata hao l'pool safi tu
 
Nikweli.
Hata wakati waliposhuka na kombe hakuwa na mshangao mkubwa wala papara nalo.
Jamaa anawaza UCL.
Na itamuuma zaidi kama spuds ataichukua.
 
Mimi najiuliza wametumia kanuni gani kutukutanisha na Liverpool ngao ya jamii..?
Maana nijuavyo mimi ngao ya jamii huwa inamkutanisha bingwa wa Ligi kuu na bingwa wa FA..!
Kwanini Liverpool na sio Watford..?
Nikweli bingwa wa ligi anakutana na bingwa wa FA lakini ikitokea timu moja ikishinda epl na fa kama City tulivyofanya basi inabidi ngao ya jamii ikitane na mtu wa pili kwenye msimamo wa ligi......
 
Nikweli bingwa wa ligi anakutana na bingwa wa FA lakini ikitokea timu moja ikishinda epl na fa kama City tulivyofanya basi inabidi ngao ya jamii ikitane na mtu wa pili kwenye msimamo wa ligi......
That wil be tough game
 
Io sijaicheki ngoja nitaicheki niione
Ipo vizuri,

Inaweka wazi maelezo/mbinu za Pep katika Mechi Man city hasa Halftime na kwa njisi gani pep anawasiliana na kuwaelekeza wachezaji nini chakufanya ndani ya dimba baada ya halftime.

Kuna gemu moja ya city na Leicester aliwaonyesha moja ya Udhaifu wa Beki Maguire kwamba Mwendo kasi wa Maguire sio mzuri hivyo watumie udhaifu na gemu hiyo city alishinda.
 
Pep sasa Mawazo yote Msimu Ujao itakuwa Kubeba Champions league UEFA na hapa panamlima mrefu.

Ameweka historia kubwa sana vikombe vinne (4) ndani ya msimu mmoja Si haba...Congratulations!!!

Epl
EFL
FA
Community Shield.

Goli sita 6 Fainal.

Watford wamefanyiwa Ukatili wa kinjisia.

Toka Miaka zaidi 100 haijawahi tokea fainali Goli sita English football.

Wengine watasema Pesa inahamisha Mlima.." The Oil Club"


Congratulations The Citizen!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…