Sane ni mchezaji mzuri sana.Kitakachowasononesha city ni kwamba Sane kule Ujerumani ndio kwao sasa timu kubwa ya kwao ambayo ni timu tajiri kuliko city inataka aende
Kama atapewa £200,000 per week anastahili kabisa. Yaani pale Ettihad wachezaji karibia wote wanastahili £200k isipokuwa Walker, Gundogan na dogo Zinchenko na wasugua benchiAnd they can't pay €120m for a talented winger. Wanalalamika ni ghari mno pesa waliotajiwa na city hawawezi kuilipa.
They are rich in German and under FFP rather than that they're nothing.
Bayern kwasasa nitimu ya kawaida tu kama spurs.
Na sane angekuwa anawakubali kwakuwa wanahela angeshatamka anataka kwenda bayern.
Amepewa ofa na city ya £200k per week bado bonus wakati bayern mchezaji anaelipwa pesa nyingi ni lewandoski €225k kwa wiki.
Kwa sasa bayern is no where near city.
Mchezaji anaekaa benchi anasamani juu ya £100m just imagine
Ila kama sijaelewaSane ni mchezaji mzuri sana.
Ila mwisho wa wote...
Akibaki uwezekano wa city kuchukua mataji upo.
Na akiondoka uwezekano wa city kuchukua mataji upo palepale.
Kazi ni kwake kuchagua,
Ila kama sijaelewa
Hivi kweli Bayern wameshindwa kutoa €120 million kumchukua Sane?
Kama atapewa £200,000 per week anastahili kabisa. Yaani pale Ettihad wachezaji karibia wote wanastahili £200k isipokuwa Walker, Gundogan na dogo Zinchenko na wasugua benchi
Pep kumbe amegoma kusignGabby anakula £50k wanatakakumuongezea mkataba pia.
Sane Akienda bayern hatapata zaidi ya €150k probably.
Ila ataenda kwa sababu ya shinikizo la wazazi tu, Kama atakubali.
Tatizo lingine mfumo wa city sio wakuuza wachezaji wao bora.
Na city wasipomuuza mwaka huu, na mwakani sane akasema anataka kuondoka basi thamani yake itashuka tu.
Aya kama felix ameuzwa kwa €120m sane ambae ameshaprove utamnunua kwa shingap?
Gundogan nae pia hajasain mkataba mpya ila city wamesema hataondoka mpaka utakapoisha mkataba hata akienda free hakutakuwa na hasara.
Walker ndo mpoteza mipira mara zote.
Cross na pass zake hazina uhakika sana. Analindwa na speed.
Kwaio sane,gundogan na Guadiola ndo wamegoma ku sign mkataba mpya.
Ila Guadiola akiondoka mbadala wake mzuri ni Eric Ten harg kwangu mm.
Alafu mm nachoona ukitaka kujenga matabaka kwenye timu basi weka tofauti kubwa ya mishahara kama utd wanachofanya .
You don't sell your best player to youre rival.Pep kumbe amegoma kusign
Anaitaka PSG nini maana ndio timu tajiri pekee iliobaki kwake
Sure.No
Magap yanakuwepo kwa ajili ya watu wenye vipaji vikubwa sana. Mfano nadhani hata wachezaji wenyewe mfano pale Barça wanajua haiwezekani wale mshahara at par na Messi
So magap yanakuwepo ila ya kiakili, kwa mfano DeBruyne unampa £300k halafu Sane, Sterling, Bernado, Jesus, Aguero, Rodri unawapa £250k
Beki huku mwenye kiwango kikubwa sana unampa £200k halafu the rest chini ya hapo
unapenda kupigwa pipe.Sipendi kupigwa ban
wewe hauko serious Gundogani unamchukuliaje?Kama atapewa £200,000 per week anastahili kabisa. Yaani pale Ettihad wachezaji karibia wote wanastahili £200k isipokuwa Walker, Gundogan na dogo Zinchenko na wasugua benchi
wewe hauko serious Gundogani unamchukuliaje?
Gundogan naonaga ni kiungo ambae ana kipaji/uwezo mdogo sana kucomplete tackleswewe hauko serious Gundogani unamchukuliaje?
Ila yeye ni ATTACKING MIDFIELD wakati ule PEP alikuwa anamfosi tu kucheza kama holding midfieldGundogan naonaga ni kiungo ambae ana kipaji/uwezo mdogo sana kucomplete tackles
in fact sio mkabaji usimlaumu kwa Hilo ni Kariba ya kina Xavier Hernandez.Gundogan naonaga ni kiungo ambae ana kipaji/uwezo mdogo sana kucomplete tackles