Gabby anakula £50k wanatakakumuongezea mkataba pia.
Sane Akienda bayern hatapata zaidi ya €150k probably.
Ila ataenda kwa sababu ya shinikizo la wazazi tu, Kama atakubali.
Tatizo lingine mfumo wa city sio wakuuza wachezaji wao bora.
Na city wasipomuuza mwaka huu, na mwakani sane akasema anataka kuondoka basi thamani yake itashuka tu.
Aya kama felix ameuzwa kwa €120m sane ambae ameshaprove utamnunua kwa shingap?
Gundogan nae pia hajasain mkataba mpya ila city wamesema hataondoka mpaka utakapoisha mkataba hata akienda free hakutakuwa na hasara.
Walker ndo mpoteza mipira mara zote.
Cross na pass zake hazina uhakika sana. Analindwa na speed.
Kwaio sane,gundogan na Guadiola ndo wamegoma ku sign mkataba mpya.
Ila Guadiola akiondoka mbadala wake mzuri ni Eric Ten harg kwangu mm.
Alafu mm nachoona ukitaka kujenga matabaka kwenye timu basi weka tofauti kubwa ya mishahara kama utd wanachofanya .
Kama atapewa £200,000 per week anastahili kabisa. Yaani pale Ettihad wachezaji karibia wote wanastahili £200k isipokuwa Walker, Gundogan na dogo Zinchenko na wasugua benchi