The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Utd wanakaribia kutumia 1b£ tangu aondoke Sir. AF
Ila ingekuwa city tungesikia kelele za FFP rules
Man Utd ndio Club inayoongoza kwa kuuza jezi duniani ,yaani hata Real Madrid hafui dafu kwa ManUtd and that translates to Man Utd ndio watakaoongoza mapato ya matangazo, sponsor wengi etc

Hata Rais wa Barca alikiri kuwa hawana muscles za kupambana na Man Utd kwenye market ya wachezaji ingawa Barca mwaka huu kama sio mwaka jana alimpita kimapato Manchester United
 
Utd wanakaribia kutumia 1b£ tangu aondoke Sir. AF
Ila ingekuwa city tungesikia kelele za FFP rules
Sababu nyie income yenu haiendani na expenses. Hamjiendeshi kwa pesa mnazotengeneza bali za sheikh. Man utd jezi tu zinawaingizia kipato maradufu
 
Football is business.
Nakumbuka raisi wa fifa alisema sheria izi zinakandamiza timu nakuzifanya zishindwe kuwekeza kwa mafanikio.
Na kusababisha hasara zaidi ya 1€b kwa mwaka kwenye uendeshaji wa vilabu ulaya
 
Sababu nyie income yenu haiendani na expenses. Hamjiendeshi kwa pesa mnazotengeneza bali za sheikh. Man utd jezi tu zinawaingizia kipato maradufu
Nakubali ila huo ni upuuzi wa FFP.
Ndomana vilabu vinafanya matumizi makubwa na wanaficha taarifa muhimu ushahidi unakosekana.
City wachezaji wanakula pesa nyingi sana kuliko za kwenye makaratasi.

Salaru + bonus.

Na FFP zinashadadiwa sana na barca pamoja na bayern
 
La liga president

Javier Tebas 'Man City are a danger to football claims' are breathtaking hypocrisy
 
Mzee wa fact amemjibu.

Sheikh khaldoon

Real have long been seen as the establishment club, supported by long-time dictator Francisco Franco and by the Spanish royal family.

Barca occupy a similar position in terms of Catalan nationalism, although again it is difficult to prove that they benefit from state favouritism.

In his latest outburst, Tebas says La Liga “would not allow any investor that would create debt or inflate the market”.

He needs to have a word with Barcelona, who have recently gone into £800million debt after inflating the market by paying £107million for Antoine Griezmann.

And then he might pick up the phone to the club he supports, Real Madrid, to give them a flea in their ear about the £343million debt they have incurred by paying market-busting transfer fees and huge wages to a series of superstars.

City meanwhile, will keep on living within their means, with no debt and only the third highest wage bill in England despite being undeniably the best team.
 
Ninyi munapaswa kufungiwa Uefa maana mumecheza rafu nyingi sana kwenye usajili. Na Pep alipoangalia anaeza asicheze final hata moja Uefa. Kwa sasa City itaenda kuwa timu ya kawaida sana.!
ukawaida wake unataka kuilinganisha na nani?
 
Uongozi wa la liga, bayern na barcelona wamekuwa wakilalamika sana kuhusu city kuliko psg.
Inaonyesha kwaio ndio changamoto kubwa kuliko psg.

Juzi juzi raisi wa barca Bartomeo ametoka kulalama, akafata wa bayern leo tena raisi wa La liga.

Anasema hawezi kuruhusu wamiliki watakaoruhusu madeni makubwa kwa vilabu anasahau barca na madrid pekee wanadeni la 1b€
 
Usajili mwingine huu apa.

OFFICIAL: Sporting CP have confirmed the sale of Portugal U19 forward Felix Correia (18) to Manchester City.

Sporting have sold the 18-year-old wonderkid to Manchester City for an initial €3.5M, rising to €15.5M through performance-related objectives.
 
Cancelo ameshakamilisha vipimo, kesho anatangazwa rasmi kama mchezaji wa city.
Danilo tayari ndani ya Juve
 
This season City tutakuwa vizuri zaidi ya msimu ulopita na nachokiona kuku wanaweza maliza ligi wakiwa wa 4 ama 5 kabisa wakati huo the citizen tukiongoza ligi.
 

Dah Mmiliki wa City ana hela sana
 
This season City tutakuwa vizuri zaidi ya msimu ulopita na nachokiona kuku wanaweza maliza ligi wakiwa wa 4 ama 5 kabisa wakati huo the citizen tukiongoza ligi.
Naona unamuwaza liverpool tu. Hamna timu zingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…