Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
HahahaKuna mtu alinifundisha kwamba team ikishinda tunakuwa tumeshinda wote....ikifungwa wamefungwa wao sio mimi
Tukishinda nashangilia,wakifungwa watajua wenyewe
Najaribu kuishi na hili [emoji121][emoji115]
So matokeo yoyote niko okay nayo kwa sasa....sina hata dalili ya hali ngumu