The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Foden all day
 
Nilipomuona mahrez nje nikajua jesus ndo sub.
Alaf natarajia mahrez atacheza krb zaidi na box
 
Well said mkuu. Umeandika kweli tupu. Ila umeniacha hoi na hiyo kitu ya Chelsea kutafuta magoli kwa tochi. Sijui inakuwaje Chelsea wanashindwa kutengeneza magoli ilhali wanao washambuliaji wachezaji (no 10) wazuri sana: Mount na Kai. Kweli soka gumu. Alishindwa Lampard, na taratibu namuona Tuchel naye akishindwa kutatua hilo tatizo.
 
Nadhani inabidi utafute upya takwimu za uwekezaji wa Liverpool. Vinginevyo umenena vema. Timu lazima zijue uwekezaji ni suala endelevu.
 
Pep, kamchagua Ederson kupiga penati, na anasema ndio mzuri kuliko wote, na Jana baada ya mechi aliulizwa kuhusu hilo suala ka sasa amempa Rodrigo kupiga penati, Kasema hapana, na kaiponda penati aliyopiga Rodrigo,
Ila sasa kilichotokea ni ile hasira tu ya kukosa penati Mara kwa Mara ndio kilimfanya Rodrigo kupiga ile penati, Rodrigo anasema baada ya game na Liverpool wakiwa vyumbani wakawa wanataniana ndipo Yeye akasema ikitokea penati tena atapiga yeye, wenzake wakacheka, anasema hata walivyopata penati alivyoshika mpira akakuta wenzake wote wamemwachia akafurahi.
Pep bado ameacha mikoba ya kupiga penati kwa Ederson
 
Ederson anamashoot ,nadhan ni kwa vile alishazoea kuondoa mipara kwa kupiga mbele ,ila bado ......


Mim naamin foden na Bernardo wanaweza kushoot penalty vizur wakitulia ....
 
Mara ya mwisho salah kukosa penalty sijui ni lini,..

inatakiwa tupate mpiga penalty mwenye confidence kama salah ..

Salah na vardy wakishika mpira kupiga penalty aisee ,unahesabu goli mapema ...
 
Ederson anamashoot ,nadhan ni kwa vile alishazoea kuondoa mipara kwa kupiga mbele ,ila bado ......


Mim naamin foden na Bernardo wanaweza kushoot penalty vizur wakitulia ....
Daaaaaah ko unataka upingane na mwenye timu Pep, unataka kusema Pep hajawaona Foden na Bernardo hadi akamtaja Ederson.
Sikusema mimi kwa mawazo yangu ila nilisema kile alichokisema Pep, na kwa vile yeye ndo anakaa nao kwenye mazoezi let continue to trust him
 
Sio kupingana ,ukikutana na forward Kali kama vardy au son then kipa akapiga penalty may be ikagonga post (any thing can happen )ni rahisi sana kupigwa attack ..

Distance ya kipa kutoka kwenye box la mpinzan hadi golin kwake Tayar mpira unaweza kuwa umetua nyavuni ...

Labda aongee na defender mmoja abaki golin kabisa


Kama uliona vizur kabla ya Rodri kushika mpira ederson alikuwa kashasogea kwa ajir ya penalty ...


Aisee Mimi niliona kama anazingua ....

Sikutaman kabisa aende kupiga ,...
 
Risk katika maisha uwezi kuikwepa, sasa kama yeye anaweza kupiga kuliko mwingine uwanjani?.
Ndio maana hata Rodrigo amesema " Ederson aliniacha na akanipa ushauri udhaifu wa kipa Lolis, ila akaamua afanye vile akili yake inavyomtuma, si umeona lakini penati yenyewe kidogo idakwe
 
[emoji838]Pep Guardiola on Ederson and penalties: "If he can play that pass from 70 yards he can shoot from 12. His quality of the shot is good. I know him. Penalties are different. I need to think. I am so delighted Rodri. But penalty was not good. CL is coming. When you miss it is so hard.
 
Imagine tuko dakika ya 90min ,na tumepata penalty unafikili nan anafaa kushoot


Uefa hio ,tukiendelea hivi ,ni mbaya sanaaa.....
 
Hapa ederson alitaka kuchukua penalty kabisa......



Hahaaaaa...

Leo city swala la kupiga penalty ni changamoto aisee....
 
[emoji838]Rodri on why he took the penalty: "I was angry the last weeks because we miss many penalties. In big games you have to score penalties. I said next penalty we get, I told my teammates, I grab the ball and nobody takes it away. Fortunately I score."


Mimi naona rodri ana bahati ,swala la kupiga penalty tumwachie yeye ,...

Pep inabidi amwamini ..

Swala la kusema hajafurahiswa na penalty ya rodri ni kutengeneza mpasuko tu ...uzuri kapiga na kascore ni swala la kumwamin tu.....


Sipati picha kama angekosa hahaaaa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…