Ndo udhaifu wa city hao wawiliWote wapo fit ,...!
But mim binafs walker na mendy nikiwaonaga nakuwa na wasiwasi nyuma pale ..
Bora laporte na zincheko wawe IX wa muda wote huku dias na stone wakiwa constant..
Sana mzee.Phil Foden:
"I was directly behind the net when Agüero scored [vs QPR]. We celebrated on the pitch – I was on there at the end, with however many other people. That was my main highlight as a #ManCity fan – it’s mad to think I play with those players now."
aisee watu wanatoka mbali ...
View attachment 1704430
Kabla mechi hazijaanza kubana sana na mamb ya uefaLeo Evaton watusamehe, tunaziitaji sana hizo point, tuna mambo mengi tunatakiwa tucheze UEFA , carabao cup, FA, na Ligi,
Point muhimu sana hizi kuzikusanya
Ndio hivyo, mkiwa na point nyingi mbele ya wapinzani, inakua raha sanaKabla mechi hazijaanza kubana sana na mamb ya uefa
Nachukiwa sana wa mashabiki wa manchester united
Umemsahau beki mbunifu cancelo kwa sasaLeo nategemea kuchukua point tatu kwa everton ,..
Everton ni timu nzur ila kwa sasa mbovu mbele ya city ,..
Everton kama lecister hawana possesion sana ila wanamipira ya hatari wakiwa wanashambulia james rodriguez ni mtu wa kumnote sana ,anamashoot ya mbali ...
Dias na stone inabid leo wawe kwenye form ya siku zote ...
Gundo hayupo goal machine wetu ,kdb karudi sijajua kama yupo on fire kama mwanzo ,aguero nae ...
Zincheko -dias-stone-laporte
Bernado -kdb-rodri
Stering -arguero-foden
But pep alivo genius anaweza mweka kdb false 9 na aguero ndani ...hapo ndio huwa hadi makocha wengine wanabaki hoi...yaan
Hapo inabidi kdb na bernado wacheze AMF then rodri awe DMF kuokoa makosa ya kina dias na stone
Sijui pep atawaua vip everton ila naamin hapo eveton hachomokii.....
View attachment 1704940