Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Mkuu unajua Leo wanakutana wote wawili kisaikorojia wakiwaza fainaliMnamjua pulisic nyie
Uzuri ni kwamba haihitaji akili nyingi kumjua mshindiMkuu unajua Leo wanakutana wote wawili kisaikorojia wakiwaza fainali
Sasa mchezo wa Leo ni sehemu ya mbinu za fainal na kumsoma mpinzani zaidi
Matokeo yanaweza kuwa tofaut na yatakayo kuja fainali
Hapo kwa Leo na ona kuna timu inapata goli moja na nyingne inaondoka bila goli
Sawa mkuu najua wewe una matokeo mfukoni ila unasahau kuwa mpira ni dakika tisinUzuri ni kwamba haihitaji akili nyingi kumjua mshindi
Hili jukwaa ni la kituko sana, ety ww jamaa ndo mtetezi na msambaza taarifa wa hili jukwaa la wahuni 😂😂😂 uliwahi kuona wapi mtanzania shabiki wa man City.? Au haya mafanikio ya Pep ndo yalikudanganya.?Chelsea kuna beki pale ,hivi nyie Chelsea mna kitu gani hasa cha kuitisha city ..
Narudia tena ,Chelsea inacheza tu kwa morali ila haina wachezaji wenye uwezo na ubunifu uwanjan kama city ..
Chelsea ni underdog tu ,Hana kikosi chochote cha kuitisha city ..
Boss, mambo mengine yapo wazi kabisa, nyie C ndo mlikuwa mnamtaka Madrid UCL ety ndo size yenu.? Sasa huyo Madrid katolewa na mtakutana na moto msioutegemea na msije kulalamika ety Pep kaweka kikosi kibovuSawa mkuu najua wewe una matokeo mfukoni ila unasahau kuwa mpira ni dakika tisin
Unaonaekana namna gani ulivo mweupe kichwan ,huna unalolijua kuhusu mpira ..Hili jukwaa ni la kituko sana, ety ww jamaa ndo mtetezi na msambaza taarifa wa hili jukwaa la wahuni [emoji23][emoji23][emoji23] uliwahi kuona wapi mtanzania shabiki wa man City.? Au haya mafanikio ya Pep ndo yalikudanganya.?
Mkuu punguza maneno njoo baada ya tisini kuisha ili ushukuru au ualalamikeBoss, mambo mengine yapo wazi kabisa, nyie C ndo mlikuwa mnamtaka Madrid UCL ety ndo size yenu.? Sasa huyo Madrid katolewa na mtakutana na moto msioutegemea na msije kulalamika ety Pep kaweka kikosi kibovu
Hifadhi haya manenoNyie mambun'go bado mmelala, Leo mna game na Chelsea hahaha mtapata tabu Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kipigo Cha leo kitakuwa ni mfano tu wa kipigo Cha fainal utakachopokea hapo Instanbul ..
Leo tunacheza Kama tuko fainal maana naskia mnatangaza ubingwa ..Sasa ni Bora huo ubingwa mkatangazie uko Buza kuliko mtangazie mbele yetu.
Leo ndo mtajua hamjui na Kipigo Cha leo kitaleta picha kamili maana mutaanza kupaniki mapema tu..
Kuhusu fainal ya UEFA Sina wasi wasi kabisa maana itakuwa ni final nyepesi kwa Chelsea kutokea tangu kuanzishwa kwa michuano ya UEFA. Na Hilo Kila mtu anajua.
Kwani hamuyiogopi Chelsea??
#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
Washabiki wachelsea mnashangaza sana.Wewe Chelsea ya lampard ndo ilikuwa saizi yako ..hii ya sasa ni mwiba kwa Kila timu
Hakuna mziki palePep mwenyewe anaelewa mkizi mzito ulioko mbele yake
Siwez kukuwekea full mkoko.Leo muweke kikosi mnacho ona ni imara kabisa ili baada ya mchezo msikose sababu.
Hawa washenzi wanaongea tuu.Chelsea kuna beki pale ,hivi nyie Chelsea mna kitu gani hasa cha kuitisha city ..
Narudia tena ,Chelsea inacheza tu kwa morali ila haina wachezaji wenye uwezo na ubunifu uwanjan kama city ..
Chelsea ni underdog tu ,Hana kikosi chochote cha kuitisha city ..
Chelsea anachukuliw akama underdog tuu si zaidi ya apo.Chelsea kuna beki pale ,hivi nyie Chelsea mna kitu gani hasa cha kuitisha city ..
Narudia tena ,Chelsea inacheza tu kwa morali ila haina wachezaji wenye uwezo na ubunifu uwanjan kama city ..
Chelsea ni underdog tu ,Hana kikosi chochote cha kuitisha city ..
Chelsea nimemfunga mechi 15Wewe nakujua ,tukiwapiga utapotea hapa wiki nzima ,utarudi final kuza kupayuka tena ..
Leo tunawashusha huko juu ,na uefa tunawakandamizaa
Ipi io niliyoipelekea moto FA last 30 minutes.Hakuna timu inayoweza kuifungua defensive machine ya Chelsea. Na Leo mtaona kwa macho yenu.
[emoji23][emoji23] Yule pimbi na mpata.Mnamjua pulisic nyie