The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

France >> spain
FB_IMG_16208154226550413.jpg
 
Sisi kufungwa na chealse Mara mbili mfululizo hio ni mbinu ya kumkabili chelsea may 29 ....

Yaani moto utakao washwa CL final sio wa kitoto kabisa ...

Mnakumbuka kile kipind ,tulipumzik kama wiki moja ,kisa covid ...


Then game iliyofuata ikawa

Chelsea vs man city , EPL

1H tulikuwa tumeshawapiga goli 3 -0 ....

Mpaka klop akaanza kulialia ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Final game tunaiua mapema sana ,before HT mtakuwa mshakula goli za kutosha ...

Pia ukumbuke kuwa ulikuwa unacheza na Lamp siyo Tuchel mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23]

Unapokutana na Tuchel lazima uwe makini ukija kizembe zembe lazima ulambwe cha uso[emoji23][emoji23]
 
Gundogun ---- Rodrigo ------Bernardo Silva

Foden --------KDB----------mahrez


Hao watu ndio wanafanyaga pressing ya kutosha city ,ukiona uwanjan unainama ujue kuna hao viungo ,wanashambulia wanarudi nyuma ,wanayengeneza nafasi ...



Ukiona hawa


Frenandihno ----Rodrigo ---Torres

Jesus ------aguero -----sterling


Hawa wanatumja long ball ,hawanauwezo wa pressing ,MTU kama aguero anasibili atelezeshewe mpira ndio afunge ...

Ndio maana hata lile goli la kwanza dhid ya Chelsea ,na pelnalt ilikuwa long ball effect ,na sio pressing hadi kwenye goli LA Chelsea ...


Tatizo LA kufungwa Mara mbili mfululizo na Chelsea ni rotation hakuna kingine ...


Game ya FA ,tulitoka kumfunga Dortmund uefa ,pep akapumzisha key player waliocheza uefa ,ukiona kilichotokea ...


Game EPL pep karudia Yale yle tena waliocheza PSG wamekaa bench maksud ,bila kujali tunaenda kupoteza game ...

Naamani bado tunanafasi kubwa tu UCL ,hao chelsea waendelee kutembelea historia za 2012 wakati sisi tupo 2021 ...

Kama drogba ataingia na kufunga dakika za mwisho sawa ,...
hahahaaaa mwanang una akil pep anasubir..!!
 
Seniors, under 23,under 18
Timu zote za city wanaume zimeshinda ligi
FB_IMG_16208776385116096.jpg
 
Mkuu huo ndio ukweli ,Chelsea ni timu inacheza kwa morali tu ,takwimu hazidanganyi ,tukiweka hapa uwezo na ubunifu wa wachezaji uwanjan ,utaona namna gani city ni timu kubwa tu ..


Hao Chelsea wanasubili bahati ,kama ilivokawaida ya football kutusuprise ,ila mengine yote hakuan wanalotushinda ..
tusubir final mzee..!!
 
Yaani hii man city kwa mpira huu na Newcastle, itakuja pigwa hata goli tano na Chelsea.
 
Back
Top Bottom