The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

dakika ya 10...man city 1 west ham 0, kasi ya man city inatisha
 
mwaka huu man city wamejipanga vizuri sana watatoa ushindani wa kweli, ila sio chama langu
 
mwaka huu man city wamejipanga vizuri sana watatoa ushindani wa kweli, ila sio chama langu
kamaa wanasumbua kiasi hiki wakati kuna wacheza wali mhimu wako nje...je wakipona/wakimaliza azabu itakuwaje manu atasawazisha hata kama ni dakika ya 150
 
kipute kinaendelea dakika ya 51 magoli bado ni 2 kwa man city na 1 kwa west ham..
 
Kwa kasi ya Man city kama itaendelea itakuwa mwisho wa big four labda iwe big five....
 
Man City 3 - West Ham 1


Man-City-v-West-Ham-Martin-Petrov-Carlos-Teve_2366500.jpg

 
Man-City-v-WH-Carlos-Tevez-goal_2366494.jpg



Tevez apologises to his former club's fans after scoring.

Man-City-v-WH-Carlos-Tevez-celeb_2366493.jpg



West Ham equalize!!!!!

Man-City-v-West-Ham-Carlton-Cole-goal_2366503.jpg



Man-City-v-West-Ham-Carlton-Cole-celeb_2366504.jpg

 
Martin Petrov scores a great freekick to make it 2-1.

Man-City-v-West-Ham-Martin-Petrov-goal_2366505.jpg



Tevez afunga tena to make it 3-1

Man-City-v-West-Ham-Carlos-Tevez-second-goal_2366513.jpg



Man-City-v-West-Ham-Carlos-Tevez-second-celeb_2366514.jpg




 
Back
Top Bottom