Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Tutamuona Leo huyo lukaku kama atafunga hata goli la hivo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hilo goli lenyewe ni mpira umempiga tu kabahatisha huyu takataka tumepigwa aise hapa tusitegemee uefa wala super cup.
Arsenal ni timu mbovu ila ikikutana na Chelsea huwa inabomoa daraja la Stamford bridge....Angalieni kesho tunamla kichwa arteta na tunajua kabisa arse8 hawezi kukubali kupoteza game tatu mfululizo ..ivyo akipigwa kesho usitegeme kuwa atapigwa na nyie wateja wetu. Tuna imani hii game tune Arteta hatotuangusha.
NB: kesho Lukaku ana bao zake tatu..!!
Arsenal ni timu mbovu ila ikikutana na Chelsea huwa inabomoa daraja la Stamford bridge....
Angalieni kesho tunamla kichwa arteta na tunajua kabisa arse8 hawezi kukubali kupoteza game tatu mfululizo ..ivyo akipigwa kesho usitegeme kuwa atapigwa na nyie wateja wetu. Tuna imani hii game tune Arteta hatotuangusha.
NB: kesho Lukaku ana bao zake tatu..!!
Mlimfunga Lampard kwa sasa tutatia dozi hadi hizo H2H mzikatae
Wewe ni fala tu hahaaaaaaaaaaHii noma tunawaangushia nyie matakataka kwa sasa tuko pamoja na marehemu arse8 tuna hakika atafufukia kwenu nyie mbuzi huu msimu ubingwa sahauni hata qarabao hamtolamba hakika..
CFC
Huwezi kuchukua EPL kwa kikosi chepesi kama hicho ,...Wazee wa EPL mpo
Nyie wenzangu mnapata sana taabu,Anfield isiyo na majeruhi hamuiwezi
Tumeisha kimbia na kombe
Nani sasa hapa hayaogopi Majogoo?
Inaonekana anaenda uvinza Sana, nn!? Midomo hio vipi!?Hamna timu hapa ni kikundi cha wabakaji tu
Bora apumzike huko tu,...