Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
unachokisema ni kweli, NA PEP ALIGUSIA KWENYE POST-MATCH INTERVIEW MBALI NA KUKUBALI PIA ARSENAL WALIKUWA VIZURI ZAIDI YETU!!!Mimi kucheza vibaya Leo sion tatizo kabisa ,wachesaji walikuwa wamechoka kulinganisha na arsenal ...
Arsenal walikuwa wamepumzika siku nyingi Sana kutokana na case za covid but sisi tumetoka kucheza juzi na Brentford ,Bado siku mbili tunakuta na arsenal .....
Ndio maana wachezaji wetu walikuwa out of form ,uchovu ulikiwa mkubwa Sana ....
Kusema kweli arsenal walitutawala Sana first half with zero shot on Target [emoji53][emoji53]
Any way ,wacha tujipange next game .....
Kdb kachoka Sana ,game kila baada ya siku mbili sio mchezo[emoji28][emoji28]
Jamaa leo alituokoa japo alifanya makosa kiasi fulani, NAONA NDO ALIKUWA "MAN OF THE MATCH"Come on city ....
Aisee first half tumechaza utumbo mkubwa ,....
Ake inabidi afanye mazoezi ya kutosha ,japo amaeokoa goli lile....ulikuwa uchochoro wa Saka....
Dah!...Kumbe pep alikuwa ameshaona alerting katika hii game ya leo.Naona Pep amewaonya vijana juu ya #ARSENANE, Huyu jamaa bana huwa anakupa kichwa mpizani wake ili uvimbe alafu mwisho wa siku ANAKUPASUA VIBAYA.
View attachment 2062891
Mara ya mwisho city kushinda katika dakika kama zile za rodri ilikuwa may-2013 dhidi ya southampton.
View attachment 2065589
Yaaani nimefurahi sana leo, nilikua naombea sana hiyo sareHaya sasa maombi yetu yamepokelewa. Njia yetu inazidi kuwa nyeupe
Maombi yamejibiwa vizuri acha tuendelee kuwa juu mawinguni sie.Hawa wa Leo tuwaombee draw