The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Kumbe mpaka ashinde vipolo ,je vikichacha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbaya zaidi kama huyo leeds wanakuj kukutana nae akiwa na ulazim wa point 3 ili atoke kule chini kwa hivyo haitakuwa rahis kwa liverkuku kama wanavyodhani wao.
 
Maneno ya pep kwa King.KDB following his Masterclass performance on yesterday clash!

 
Mbaya zaidi kama huyo leeds wanakuj kukutana nae akiwa na ulazim wa point 3 ili atoke kule chini kwa hivyo haitakuwa rahis kwa liverkuku kama wanavyodhani wao.
Kwanza Liverpool hayupo kwenye form kabisa ,sioni akitutisha...
 
"CITY FOOTBALL GROUP" yani CFG....KAMA MOJA WAPO YA TASISI IMARA PALE UK KWA MALKIA...INATAMBAZA VIPIGO TU SI KWA WANAWAKE, EPL, VIJANA WALA WATOTO...

 
Dusan ,Chelsea wamekuwa wakimfukuzia ,but ni rumors tu sijui Kama wanaweza kumsajili ....
 
Dusan ,Chelsea wamekuwa wakimfukuzia ,but ni rumors tu sijui Kama wanaweza kumsajili ....
Yani hapo city inabid tufany maamuz mapem ikiwezekan ni kufikia agreements ya terms mapema na club husika na kulip ata nusu ya fedha mapema ibaki tu mwisho wa msimu kumsubir dogo atue na tukijua kabis tumeshamalizan nae. Inawezekan chelsea wakamuhitaji maan lile Lukazigo kule mbele ni empty bin kabisa na wanawez kushawishika kumsajil maan pesa ni ndogo inayotakiw na fiorentina...namim naona kama board haitakuwa tayari kuspend pesa nyingi katika usajil ujao ni vyem wakamchukua huyo dogo kuliko haaland maana ata mshahara wa haaland utakuw mkubwa kulinganisha na huyu dogo.
 
Kwanza Liverpool hayupo kwenye form kabisa ,sioni akitutisha...
Hao washakata moto tayari na kiukweli mkuu ningefurah kama nasis tungemfanya Guardiola kama Fergie wetu na aingie katika history ya city kama coach wetu bora wa muda wote...maan babu aliwap united mataji.13 ya Epl pale manchester...walau pep atupe jumla epl.7 na uefa ata.1 yani inabidi sheikh mansouri ampe wage anayotak yule jamaa asifikirie kuondok kwasasa kabisa.
 
Kweli Bwana, sasahivi kumpata Coch Kama Pep akiondoka sio nchezo,makocha wote pale epl wanaomba ondoke angalau wapumue, maana kahalibu Cv za watu wengi pale
 
Kweli Bwana, sasahivi kumpata Coch Kama Pep akiondoka sio nchezo,makocha wote pale epl wanaomba ondoke angalau wapumue, maana kahalibu Cv za watu wengi pale
Watu wengi walivyotarajia kwamba kwa kuwa EPL ni ngumu jamaa atafeli lakini wanachokiona hawaamin machoni mwao....wamwache tu pep aitwe guardiola yule jamaa anajua.
 
Wakimuita kocha uchwara anayebebwa na nyota za wachezaji kipindi yupo Barca na Bayern. Sasa huku City sijui ndio wanatengeua kauli ama!?.
 
Kwa makocha ambao wapo active kazini hadi miaka ya hivi sasa...THERE'S NO ONE CLOSE TO #PEP...IT'S OBVIOSLY NO ARGUMENT ON THIS AS DATA NEVER LIE!!!

 
Kocha bora wa sasa na mwenye mpira wa kisasa kuwahi kutokea pale kwa malkia.



 
Vichwa vyenye mchango mkubwa katika mafaniko ya City katika past 12years till to date in England, #RespecToThem!!!



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…