Kwa ule mpira uliopigwa jana...ata hao palace sioni watatokea wapi, yani nlifikiri united wangetuchallenge lakini walikuwa hovyo kiasi kwamba city ni kama walikuwa wanafanya mazoezi vile kwenye pichi yao wenyewe.Next crystal palace...wale inatakiwa tuwaoneshe kuwa walitubahatisha ....tuwapige goli za kutosha
Kwa ule mpira uliopigwa jana...ata hao palace sioni watatokea wapi, yani nlifikiri united wangetuchallenge lakini walikuwa hovyo kiasi kwamba city ni kama walikuwa wanafanya mazoezi vile kwenye pichi yao wenyewe.
Next crystal palace...wale inatakiwa tuwaoneshe kuwa walitubahatisha ....tuwapige goli za kutosha
Kwa hiyo unataka kusemaje mzee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]unateseka sanaHuwezi mfunga CP
Huwezi kabisa
Zaha. Olise. Eze
Hutoki
Hiyo ni kawaida mbona nyie Leeds mlimpiga 6...ila City alimpiga 7, mkuu mpira ulivyo wa ajabu huyo united atakukazia mbaya pale Anfield road hutoamini ndugu...pia ata yule everton hatakuacha salama based na hali aliyopo sasahivi ili kuavoid relegation hatokubali kipigo kutoka kwako na ukumbuke ile droo ya everton msimu wa 2018/2019 ndo alikunyima ubingwa ulitrail by 1-point behind city hadi mwisho ndo kitakachokukuta msimu huu pia...najua mko fire ndio lakini kati ya hao wawili kuna sehemu utadrop tu points...believe it!Hawa walipigwa 5-0 na Liverpool tena kwake,Man U ndiyo metric yako kama upo sawa?
Dua la kuku hilo nasisi ni mwewe...hivyo halitatokea hilo kiongoz!Huwezi mfunga CP
Huwezi kabisa
Zaha. Olise. Eze
Hutoki
Kwanza chukua hii mzee...Huwezi mfunga CP
Huwezi kabisa
Zaha. Olise. Eze
Hutoki