Kwani man City imeisha tolewa UCL?subiri akitolewa ndipo pep haitwe failure zaidi yahapo ni majungu tu
Inter Milan kakuonesha kuwa wewe ni mbumbumbu tu [emoji28][emoji28]
Mambo vip kinabo ....[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Niliwaambia wkt mna ongoza points 14 sisi tumecheza mechi 2 pungufu kuwa Liva ndiyo mabingwa wa EPL,mkanicheka sana!
Sred yangu niliyo andika hivyo ipo humu!!
Nawaambia tena April 10 nakunyuka kwako na hunikuti tena sababu ww huwezi mfunga NC,Westham wala Villa
Team huna
Any way tumecheza vzuri walahi ,sema tu hatukuwa na bahati ....!
Mambo vip kinabo ....[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kachukue epl ile pale mavi kunuka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sawa ...Kucheza kupi?
Mmetoa mipira kwa Mateta na Zaha mara nne kwa beki yako kujichanganya ndiyo ucheze na Liverpool vile?
Nakupiga April 10 kama mtoto
4 point clear top of the table ....
Kabla hujaja kukomment hakikisha unanizidi point ....!
Kama wewe ni mwanume tufuate pale juu
Sawa mzee baba ....Utaandika kwa hasira na matusi lkn mwaka huu huchukui lolote
Jumamosi Southampton anakupiga FA