Kuna post FABRIZIO ROMANO ameipost leo juu ya maamuzi ya rais wa madrid bwana perez kumpa mkataba mpa vini. Jr na namna walivyojipanga kumchukua mbappe on upcoming summer move huku madrid wakiwa wanamonitor kujua next club for hallaand!
View attachment 2152360
Nilichogundua huyu dogo alikuwa hakiitaji kwenda madrid lakini kwa hali ya kiuchumi imewawia mgumu real kuweza kuwasajili wote wawili kwa msimu mmoja lakini anauhakika kuwa madrid watakuja kumsajili tu ata msimu ujao. Sasa kutokana na hiyo situation moja ya kitu ambacho huyu dogo anahitaji kuwepo kwenye framework ya mkataba wake pale etihadi endapo financial agreement itaafikiwa ni KUWA ANATAKA AWEKEWE KIFUNGU CHA RELEASE CLAUSE kama alivyowekewa pale dortmund ile release ya £63.5m na ndo ambayo city wanataka kuactivate icho kifungu ili wampate huyu dogo.
View attachment 2152361
Sasa hiyo maana yake ni kuwa dogo anataka kufanya pale city ni kama njia yani kilabu kama madrid ikimuhitaji mda wowote watatrigger tu hiyo release clause anayotaka iwekwe kwenye mkataba wake kisha anasepa...na hiyo yote inatokana na huyu dogo kuwa na usimamizi wa wakala mwenye tamaa bwana RAIOLA.
USHAURI: huyu dogo anaweza leta gumzo pale city huko mbeleni pia ikizingatiwa endapo atawekewa hiyo release clause anayotaka AKAANZA KUDAI MALIPO YA MSHAHARA KUONGEZEWA akiamini kwamba ni rahisi kutukimbia kama hatutafikia demand ya mshahara anayotaka kama ataendeleza moto wake wa ufungaji hivyo atakuja kutuweka kwenye wakati mgumu kutokana na aina ya wakala wake mwenye tamaa(anayemsimamia pogba wa united pia)...na itakuwa tatizo zaidi kipindi ambacho atakuwa kashaingia kwenye mfumo alafu aanze kusumbua anaweza leta instability kwenye timu.
HIVYO!: ni bora pep angeangalia uwezekano wa kumshawishi lewandowski ambaye mkataba wake unaisha pale bayern hapo juni na hajapewa mkataba mpya hadi sasa lengo likiwa ni kuwa na short term replacement katika nafasi ya striker uku akiwa anamchezesha New signing Julian Alvarez baadhi ya mechi za epl hadi apo atakapo adapt EPL football, lewandowiski tukimpa mkataba wa miaka 2 itatosha kutusaidia ukizingatia atakuwa ni freeAgent. Hii ndo njia rahisi ya kumsaidia julian alvarez kuja kuvaa viatu vya aguero vyema kama hatutamchukua huyo hallaand kuavoid hizo consequences zinazoweza jitokeza huko mbeleni.