The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Ninyi dawa yenu inachemka, mutaita maji mma ..subiri
Mmepigwa na Madrid bao 3, timu bora msimu huu uingereza ni liver hadi sasa maana ipo kwenye race za makombe yote iliyoanza kuyatafuta msimu huu,
 
Mmepigwa na Madrid bao 3, timu bora msimu huu uingereza ni liver hadi sasa maana ipo kwenye race za makombe yote iliyoanza kuyatafuta msimu huu,
Sisi tutapindua meza mapema sana subiri uone kitakachotokea. Halafu Sasa tutataka tukutane na nyie kuku..
#CFC💙💙💙
 
[emoji860] Fernandinho When Asked If He’d Like To Extend His Stay At City For Another Year: “I Don’t Think So…”

Ndiho anataka kustafu [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Dah pamoja na man shit kufanya vizuri hila huu uzi yupo Pain killer tu mwenyewe anajichekesha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio maana huwa anajipitisha pitisha na kanga moja kwenye uzi wa wenzie [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tutamvusha sisi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio maana huwa anajipitisha pitisha na kanga moja kwenye uzi wa wenzie [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tutamvusha sisi

Mimi napita nyuzi zote kuwavuruga ...!
 
Bora Chelsea katoka maana tulikuwa tunaenda kukutana na huyu mbwa ,na asingekubali kuchapika nje ndani kama tulivomfanya epl ....lazima angekaza makalio hatariiii.....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…