Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Kazi ye Leo ni kuhakikisha tuna mtoa atletico kwanza then mahesabu ya kupambana na real Madrid yanaanza ....
Game na Liverpool jesus kaonesha kitu ,Leo naona akianza kabisa ....dias karudi nimecheki mazoezi Leo naona yupo fit japo sijajua kama anaweza kuanza ....kikosi cha Leo kummaliza atletico ....,,4-3-3
Ederson
Walker -----dias----laporte ---cancelo
Bernado -----KDB--- rodrigo
Sterling-----jesus-----foden
Hawa atletico ni kuwachezea simple football ,wanapaki basi tu ,dias na Laporte watakuwa wanabaaki nyuma kabisa ,walker na cancelo wapo more energetic kupeleka mipira mbele na kurudi ,huku movement za bernado ,kDB katikati zikiwalainisha atletico .....
Kama wataendelea kucheza watu 10 kwenye box lao basi watakuwa wanajipotezea muda 😅 Kuna muda unaona kabisa atletico wanacheza 5-5-0 ndio utajua kuwa Simeon ni mzeee wa kula mirungii tu ...
Hapa lazima atletico atoke tu ,.....
Game na Liverpool jesus kaonesha kitu ,Leo naona akianza kabisa ....dias karudi nimecheki mazoezi Leo naona yupo fit japo sijajua kama anaweza kuanza ....kikosi cha Leo kummaliza atletico ....,,4-3-3
Ederson
Walker -----dias----laporte ---cancelo
Bernado -----KDB--- rodrigo
Sterling-----jesus-----foden
Hawa atletico ni kuwachezea simple football ,wanapaki basi tu ,dias na Laporte watakuwa wanabaaki nyuma kabisa ,walker na cancelo wapo more energetic kupeleka mipira mbele na kurudi ,huku movement za bernado ,kDB katikati zikiwalainisha atletico .....
Kama wataendelea kucheza watu 10 kwenye box lao basi watakuwa wanajipotezea muda 😅 Kuna muda unaona kabisa atletico wanacheza 5-5-0 ndio utajua kuwa Simeon ni mzeee wa kula mirungii tu ...
Hapa lazima atletico atoke tu ,.....