The Manchester City (The Citizens) | Special Thread


Kama bado chalii basi hapo sawa lakini Kuna muda awe anatuheshimu basi wakubwa zake.
 
Sina shaka na ushindi,watajitahidi tu kupunguza idadi ya magori ila point zetu wataziacha Etihad stadium.
 
Hahahahahahaaaa! hawa mbuzi nilisema watapunguza idadi ya mabao tu japo point 3 zetu wataziacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…