Sasa kama Mansour ataki UEFA aliwatimua Mansini na Pellegrini ili iweje
Unajua wewe jmaa ni mpumbavu ,Tena mjinga kiwango cha stg ...
Pep unasema ni failure..
Anauwezo wa kukupa epl back to back ,kitu ambacho man utd pamoja na kutumia pesa kibao wameshindwa haio ndio makocha walio feli sawa boya wewe .....
Anahakika wa kumaliza top 4 kwa city sio swala la kuhoji,swala ambalo Kuna timu kibao kubwa zinaota pamoja na kutumia hela kubwa kusajili .....hao ndio manager walio feli ....
Anahakikisha anamaliza msimu na kikombe hii haijalishi ,kitu ambacho Kuna timu kubwa zinatoka bila kikombe ....
Kashaiweka city level za kimataifa ,saizi kushiriki CL sio swala la kuuliza ..!
Unaweza kuhisi city hajawahi kucheza Europa [emoji28]kwani speaker za pale etihadi zimeshakaliki tone ya wimbo wa CL ....
Embu naomba niambia kocha ambaye anaweza kuiweka timu kwenye hio peak Tena england Bado ukasema ni failure?????
Harafu mbwa mmoja anamjaji pep kwa kutochukua CL na city,ni manager gani anauhakika wa kuwin CL ,mbona unakuwa mjinga wewe jamaa ,city ipo kwenye peak ni swala to la marekebisho madogo kuendelea kupigania CL ,Leo unataka aje manager gani ? Wewe ni fala Sana mbwa kabisa ....!
Kuchukua CL lazima udominate epl as much you can and one day tutakuwa na kikosi cha kuenda moja kwa moja kuchukua CL ...!
Wewe mpumbavu umekaza fuvu et pep aondoke ,ila psychology yako inaonesha kuwa ,pamoja na Liverpool kuwa na kikosi kizuri kila idara ,viwango vya kila namna mmeshindwa kushindana na pep Sasa mnaona ili muweze kudominate epl kama mnavofikilia ni lazima pep aondoke .....
Nawambia tu pep Bado yupo Sana ,na kama mlifikili huu ni wakati wenu Liverpool,basi mnabahati mbaya Sana Kwan mmekutana na kipindi kigumu mno [emoji28]
Cha mhimu pambana na timu yako kijana ,maswala ya kukaza fuvu et pep anatakiwa kuondoka kwa manufaa ya Liverpool utasubili Sana ......maana hapo england bila pep kloop angeiweka epl kwenye mfuko ....!