Anaye mdharau Pep akapimwe akili,Pep alikuja pale Man City kuondoa ufarume wa akina Man U, kitu ambacho amefanikiwa Man U kaisha fukuza makocha kibao na kuajiri kibao ili waweze kushindana na Pep lakini wote wameangukia pua,UCL ni swala la mda maana sasahivi amesha seti sitandard,tena naomba haongezewe miaka 5 tuendelee kufuraia burudaniEti Pep amefeli, sio kocha afukuzwe ili aje kocha mwingine alete kombe la CL. View attachment 2220150
Hata Pellegrini alifika nusu fainali Mwaka 2016Muda ukifika watachukua.Achana nao.Sidhani kama inaweza kufikaa 2030 Man city bila kubeba UCL.
Kuhusu Pep kafanya revolution kubwa kwa Man city kwenye UCL,Mwanzoni Man city ilikuwa haivuki hatua ya mtoano.Lakini chini ya Pep angalau timu inasogea mpaka nusu fainali. Kuhusu Uingereza,ukweli usemwe tu,Pep katawala,Hata msimu huu inaonekana hakuwa serious na makombee ya FA na Carling cup, Seems alikuwa ame base kwenye UCL kwa % kubwa na EPL lakini bahati haikuangukia kwake huko kwenye UCL. Ndo maana Sasa hivi ana pambana na EPL kama second priority baada ya first priority kubuma.Lakini kama angekuwa serious kote alikuwa ana uwezo wa kusomba vikombe viwili au vitatu vya Uingereza,Ngao,EpL, Fa. Lakini ndo hivyo.Pep apewe heshima yake Uingereza
Uwo ufalme wa Mwanitesa utd haujaondolewa na PEP. Mwanitesa Mara ya mwisho waliibeba 2013 wakati Pep kaja 2016/2017Anaye mdharau Pep akapimwe akili,Pep alikuja pale Man City kuondoa ufarume wa akina Man U, kitu ambacho amefanikiwa Man U kaisha fukuza makocha kibao na kuajiri kibao ili waweze kushindana na Pep lakini wote wameangukia pua,UCL ni swala la mda maana sasahivi amesha seti sitandard,tena naomba haongezewe miaka 5 tuendelee kufuraia burudani
Msimu wa 2020/2021 aliyetupa ubingwa naweza kusema ni gundo ,kDB alikuwa majeruhi lakin gundo aliuwasha moto kila game alikuwa anatupia ,[emoji28][emoji28][emoji28]am sure hufuatiliagi game za city
Anaye mdharau Pep akapimwe akili,Pep alikuja pale Man City kuondoa ufarume wa akina Man U, kitu ambacho amefanikiwa Man U kaisha fukuza makocha kibao na kuajiri kibao ili waweze kushindana na Pep lakini wote wameangukia pua,UCL ni swala la mda maana sasahivi amesha seti sitandard,tena naomba haongezewe miaka 5 tuendelee kufuraia burudani
Kwani wewe shida yako ni Nini hasa maana naona mnateseka tu bila kusema [emoji28]Sasa kama anauwasha moto kwanini asubiri mpaka itokee injury ndiyo apate namba? Si angechukua hata ya Rodri au Foden?
Kubali tu mnamchukia pep bila sababu za msingi [emoji28]Wewe hujui hata Watu wanaongea nini alimradi nawewe uonekane umechangia! Ufalme wa Man U ulikuwa 2013, Pep kaja City 2016, sasa ufalme gani wa Man U Pep aliokuja kuuondosha wakati kaikuta Man U inashiriki Uropa League?
Hii Timu imejaa mishabiki ya ovyo.
Pamoja na hayo ya Man U kushiriki Uropa league bado au kukosa vyote,bado Man U ni timu kubwa yenye mashabiki wengi sana pale England zaidi ya Man City na Man City alikuwa under dog kwa Man U,kitu ambacho Pep amekimpunguza kama sio kukiondoa kabisa, Sasahivi Man City niabari ya njini pale England,kila timu inayokuja kukutana nayo lazima ijianda,harafu mnasema Pep kaferi kisa hajachukua UCL,Sisi mashabiki tunataka burudani kwanza UCL badae,kitu ambacho Pep anatoa.Wewe hujui hata Watu wanaongea nini alimradi nawewe uonekane umechangia! Ufalme wa Man U ulikuwa 2013, Pep kaja City 2016, sasa ufalme gani wa Man U Pep aliokuja kuuondosha wakati kaikuta Man U inashiriki Uropa League?
Hii Timu imejaa mishabiki ya ovyo.
DishiMpira hauna bahati ni uwezo