The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mie lol.
 
Kabla leo jogoo hajawika Steven Gerald atakuwa amemkana klop mara 3,na kombe wataliona hilo Etihad then walingoje after 30yrs.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ninaandika ninafuta ...ninaandika ninafuta [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mwakan focus n UCL.
 
Hapo kwa Jesus akibaki mie full burudaaan. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
 
Nimefurahi kuchukua EPL Nina amani kabisa

Ila kocha anaihitaji kuwa makin na wachezaji wake

Jana kilicho mkuta Aston Villa ndio kilicho tukuta na Madrid kwenye uefa

Yaani unafanya sub ya kutoa mzuri unamwingiza ambae hana uzuri wowote

Villa walimtoa continho ndio gemu ilibadilika

Sisi kwenye uefa tumtoa juses na kdb ndio madhara yalipo tukuta

Ni lazima tuone umhimu wa kusajiri watu watakao tupa matokeo mapema
 
Ten Hag: "I admire them both, Manchester City and Liverpool. They both play fantastic football. But you will always see an era come to an end." #mulive
 
Villa ni wagumu Sana ,ukilinganisha ni kama vile Gerrard alikuwa kashapewa mbinu na klopp namna ya kuhakikisha anatushika ili Liverpool achukue ubingwa ...!

Game yao na Burnley katikati ya week kina FC ,INGS ,Watkin wote walikuwa wamepumzika ...

Kiufupi Jana gerrad alikuwa amepania kuwapa furaha Liverpool,ili azidi kujichukuli maujiko akitoka klopp Liverpool aende yeye [emoji28]...

Kwa hiyo haikuwa rahisi kabisa ....
 
Ni kweli ila naona alikutana na kitu kizito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…