Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Bora huo kuliko moto wa kasukuMoto wa makaratasi tu huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora huo kuliko moto wa kasukuMoto wa makaratasi tu huo
Man city sio Chelsea na haaland sio lukaku...mark my wordsHata Chelsea walisema hivyo kwa Lukaku
Soon atakuprove wrong hutaaminiBora huo kuliko moto wa kasuku
Kwenye title race hatuna mzaha. Hatuchekii na nyani...you will seeAngalia msinyolewe nyie wenyewe
Nimemuanini Nunez inatoshaSoon atakuprove wrong hutaamini
Hata yesu hakulazimisha watu wamuamini ....muda utaongeaNimemuanini Nunez inatosha
Machungu watu walikaa miaka 20 na kitu bila epl hayo machungu ayalete mancity wa juzi tu........teh kidogo anaeweza leta machungu kwa liva ni manu tu ila sio cityKwa machungu tuliyompa Liverpool msimu ulopita acha achukue Ilo sahan but ndoo ya EPL haiwahusu na wasisogeze pua
Hicho kitimu cha juzi kinakukosesha ndoo dakika za mwishooniiiii...ambapo mnge level na mahasimu wenu man u huon kama inauma?Machungu watu walikaa miaka 20 na kitu bila epl hayo machungu ayalete mancity wa juzi tu........teh kidogo anaeweza leta machungu kwa liva ni manu tu ila sio city
Bado kabisa.............City haiwezi kuikosesha furaha liver,,,.labda kwa malegendary wenzake.....mancity najua hata akibeba miaka 10 mfululizo bado hakuna impact kule juuHicho kitimu cha juzi kinakukosesha ndoo dakika za mwishooniiiii...ambapo mnge level na mahasimu wenu man u huon kama inauma?
Unajivunia makombe 19 ambayo 18 kati yake ni ya enZi za nyerereBado kabisa.............City haiwezi kuikosesha furaha liver,,,.labda kwa malegendary wenzake.....mancity najua hata akibeba miaka 10 mfululizo bado hakuna impact kule juu
Ila yanahesabika............city atanisononesha angalau akifikia 15......na hayo 18 yalibebwa kwa msuli wa maana sio hadi upate kabuzi kenye pesa ndo uanze kuonekanaUnajivunia makombe 19 ambayo 18 kati yake ni ya enZi za nyerere
Kusema ukweli hakunaga timu epl inayotusumbua Kama Liverpool,Bora hata tukiwa tunachezaga na Madrid au psg ila Liverpool huwa inatuwezea aisee ...Bado kabisa.............City haiwezi kuikosesha furaha liver,,,.labda kwa malegendary wenzake.....mancity najua hata akibeba miaka 10 mfululizo bado hakuna impact kule juu
Embu nioneshe picha Liverpool akiwa amenyanyua kombe la epl tofauti na Hilo alilowapa klop ....sio mnasema mnamakombe 18 wakati epl imeanza mwaka 1990 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila yanahesabika............city atanisononesha angalau akifikia 15......na hayo 18 yalibebwa kwa msuli wa maana sio hadi upate kabuzi kenye pesa ndo uanze kuonekana
Kwa hiyo unakuja kwenye Uzi wa mashoga ,kama wewe sio shoga ni nanHakuna timu hapa hili genge la ""MASHOGA""
Ila yanahesabika............city atanisononesha angalau akifikia 15
Halafu hao mashoga wakachukua ubingwa mbele ya vidume.!!! What the f**kHakuna timu hapa hili genge la ""MASHOGA""
Let'em be fooledKuna watu wanampima halaand kwa game moja [emoji23][emoji23][emoji23]Tena community shield ....