The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Nilimtazama sana Jack Grealish uwanjani,Nikiachastrength zake.. Na kutazama Weakness zake-Anapozeesha mpira/Mtililiko wa gem/ Mashambulizi & Tatizo lingine kubwa ni mzembe,Mvivu wa ukubaji/Kupokonya mpira..! Anahitaji mabadiliko makubwa bwana huyu.
 
Nilimtazama sana Jack Grealish uwanjani,nikiachastrength zake.. Na kutazama weakness zake-anapozeesha mpira/mtililiko wa gem/ mashambulizi & tatizo lingine kubwa ni mzembe,mvivu wa ukubaji/kupokonya mpira..! Anahitaji mabadiliko makubwa bwana huyu.
Pale pep kazi anayo mpaka huyu kijana alete mambo moto moto
 
E.halaand,Bwana Pep ataweza kumtumia vizuri katika mfumo wake..??Sina shida na uwezo wa Bwana mdogo,Lakini Leo Uwanjani alikuwa anaonekana Mkiwa: na Pep hana rekodi nzuri sana kwa wachezaji wengi wachezao namba tisa asili.
 
Pale pep kazi anayo mpaka huyu kijana alete mambo moto moto
Anaweza akawa Rahm sterling part two, rahm pamoja nakupewa darsa na pep kunavitu kashindwa kubadilika,mfano umakini & utulivu pale awapo katika 18 za mpinzani.
 
Grealish ule ndio uwezo wake wa mwisho ,kiufupi ni average player ambaye hatakuja kuwa na maajabu yeyote .....

Uwezo wake umeishia pale ,hapa ni either pep aendelee kumwamini tu au aanze kuchezea bench ,awe anaonekana kwenye carabao tu ....
 
E.halaand,Bwana Pep ataweza kumtumia vizuri katika mfumo wake..??Sina shida na uwezo wa Bwana mdogo,Lakini Leo Uwanjani alikuwa anaonekana Mkiwa: na Pep hana rekodi nzuri sana kwa wachezaji wengi wachezao namba tisa asili.
Mkuu huu ndio mtihani ...

Jesusu alijaribu kunyumbulika kwa kupelekwa pembeni ,lakin alikuwa anawin ....

Leo haaland asipoperform vzuri pale Kama typical no 9 ,basi hakuna namna nyingine pep atafanya ...

Maana halaand kutokea pembeni hawezi ....
 
Nilimtazama sana Jack Grealish uwanjani,Nikiachastrength zake.. Na kutazama Weakness zake-Anapozeesha mpira/Mtililiko wa gem/ Mashambulizi & Tatizo lingine kubwa ni mzembe,Mvivu wa ukubaji/Kupokonya mpira..! Anahitaji mabadiliko makubwa bwana huyu.
Grealish Hana uwezo mwingine tofauti na huo ,na ndio mwisho wake ...

Kiufupi tulipigwa kabisa ....

Foden yupo vzuri sana ,nashangaa anaanza bench .,!!
 
Mkuu huu ndio mtihani ...

Jesusu alijaribu kunyumbulika kwa kupelekwa pembeni ,lakin alikuwa anawin ....

Leo haaland asipoperform vzuri pale Kama typical no 9 ,basi hakuna namna nyingine pep atafanya ...

Maana halaand kutokea pembeni hawezi ....
Siku za nyuma enzi za aguero nilipata kuangalia interview zake kuhusu kubadilika uchezaji wake(kurudi nyuma kusaidia ukabaji,kutokea pembeni) kwa maelekezo ya Pep. Anadai mwanzoni alipata taabu sana.
 
E.halaand,Bwana Pep ataweza kumtumia vizuri katika mfumo wake..??Sina shida na uwezo wa Bwana mdogo,Lakini Leo Uwanjani alikuwa anaonekana Mkiwa: na Pep hana rekodi nzuri sana kwa wachezaji wengi wachezao namba tisa asili.
Ni kweli lijamaa linaweza Mpira na halitanii ila jana alikuwa mkiwa japo movements zake zilikuwa nzuri. City ilifia kwa KDB Jana.
 
Kusema ukweli hakunaga timu epl inayotusumbua Kama Liverpool,Bora hata tukiwa tunachezaga na Madrid au psg ila Liverpool huwa inatuwezea aisee ...

Tutakutana epl Tena ,hope pep kajifunza kitu
Hayo ndio maneno ya kiume sasa, na Epl itakuwa na competition balaa maana hata Arsenal watakua si haba. Hivyo City na Liverpool tujipange.
 
The white lukaku
IMG-20220730-WA0019.jpg
 
Mzee japo haaland wanamshambulia sana jana pep kasema alikuwa anajipostion vzuri na bado anamwamini ...!

Maana jana waandishi wamemuuliza "huna hofu na haaland kwa nafasi kubwa za wazi anazokosa"

Kasema bado anamwamini ...

Pep inaonekana kajitoa mhanaga kwa haaland liwalo na Liwe ,lazima haaland atapewa dakika nyingi sana ...

Na navomjua pep anakichwa kigumu hatari huwezi kumtoa kwenye Imani yake hata Kama team inaenda kupoteza ...tutalajie kumuonea haaland Kila game hata Kama atakuwa anakosa kosa ..


Hata sterling alikuwa anakosa kosa ,na aliweka record ya magoli ,Cha mhimu ni kujipanga upya na kuja na nguvu zaidi ....

Kwa hasira hizi jumapili westham atakula kichapo Cha mbwa Koko ,ni swala la muda ....
 
Hayo ndio maneno ya kiume sasa, na Epl itakuwa na competition balaa maana hata Arsenal watakua si haba. Hivyo City na Liverpool tujipange.
Liverpool ni wanamadhaifu yao ,ambayo ni consistency basi ...!

Hapa ndipo tunapowapiga gap Liverpool,ila likija swala la must win game Mara nyingi Liverpool Wana tu outsmart kabisa na pep anakuna kipara maana Kila kitu anakuwa kazidiwa .....

Jana kina fabihno ,Thiago , Henderson wale mbwa walitawala katikati ...waliwaficha bernardo ,rodri ....

Any way ,kiufupi pep hajamjulia klopp Kama alivomsoma TT baada ya kuleta mazoea na city ,...
 
Back
Top Bottom