The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

ni kama viungo wa Man city hawamtendei haki Haaland hawampi pass kabisa
Mkuu westham ni wagumu Hawa ,Antoni ndio yupo mbele wengine wote wanakaba mpaka kivuli ...

Long ball hazifanyi kazi Tena ,tunahitaji pass chokonozi Kama za gundogun kuwafungua ...

Ngonja tuone 2H
 
Naona kama maluweluwe tu hapa. Ile City ya last season siioni kabisa
 
Game na westham haijawahi kuwa rahisi ....!

Any way 3 point kibindon ...!
 
Ooh white lukaku ooh sjui nin...haya sasa taratiibu tunaanza kuingia kwenye mfumo....tutaelewana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…