Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
8:30 mchana huu....karibuSaa ngapi hii game?
Grealish kipind Cha pili lazima atokeStarting XI.......ederson,stones,Diaz,akanji,cancelo,rodri,kdb,Bernardo,grealish,haaland,foden
Here we go baby
Mkuu guardiola ni MTU wa ajabu sana...bora hats angeanza mahrez kuliko Huyo jamaaGrealish kipind Cha pili lazima atoke
Kiufupi ule ndio uwezo wake wa mwisho jack ,usijekutegemea kikubwa zaidi ,...!Grielish ni bonge LA player akiwa kwenye form na nafikiri ndio sababu ya guardiola kumpa muda zaidi..maybe jamaa ata regain