Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
itamchukua miaka mingi pep kuamini kuwa grealish Hana uwezo wa zaidi ,na kwa mwendo ule akiendelea kumuamin basii tutapoteana sana ...! Hamna anachojua kwa Sasa zaidi ya back pass kwa cancelo...Mkuu Pain killer niliona post yako moja unalalamika kuhusu fighting spirit nafikiri umeona vijana wanavyojituma
Hapo kwa bishoo grielish tumeingia cha kike Mkuu lakin kwa guardiola bado ana nafasi na tutegemee kumuona sana tu...itamchukua miaka mingi pep kuamini kuwa grealish Hana uwezo wa zaidi ,na kwa mwendo ule akiendelea kumuamin basii tutapoteana sana ...! Hamna anachojua kwa Sasa zaidi ya back pass kwa cancelo...
Mwamba anamagoli magumu aseeJULIAN ALVAREZ JAMAA ANAFUNUA NYAVU ZA JUU SIO POA
Arsenyonyo anakung'utwa Leo hachomoki mtuLeo tusimame pamoja na chelsea ili arsenal ashikwe shati....wakidrop points tu ni advantage kwetu.
Tottenham pia ana liverpool japo simuhofii sana ila nae akidrop point ni jambo jema,wapunguze kiwingu hapo chini
Lile goli lake limefunikwa na goli la mwisho la haaland la penalty [emoji23], Alvarez Kama vile Hana upepo mzuri yaani ....JULIAN ALVAREZ JAMAA ANAFUNUA NYAVU ZA JUU SIO POA
Sema Chelsea nao hovyo tu sidhani Kama watatoboaNaombea arsenal apate hata draw tu .....
Chelsea wakikaza wanaweza kupata hata draw ,ikiwezekana point 3 kabisa ....!!Sema Chelsea nao hovyo tu sidhani Kama watatoboa
Nae pep aache upuuzi.....Kama haaland anapata chance ni kutundika tu hakuna namna..Pep kashasema live kuwa hapendi mchezaji mmoja anapaishwa na media , highlights zote kuwa kwa mtu mmoja anaona wivu ...anasema hapendi kuona haaland anafunga magoli mengi [emoji23] pekee yake na media zote zinampa sifa pekee yake ,ndio maana anajaribu kumpa nafasi alavarez nafasi ...na huwa anamwambia halaand usifunge magoli mengi ,......
kweli mwamba..Oya mkali , siunuona lakini sasa hivi uzi unang'arishwa na Halaand siyo Tevez Tena.🗓️🗓️
...Tekinolojia na MunguNimeuliza kama thread itadumu kwa maana ya kuchangamka. Maana Man City tuijuayo ni timu ya nafasi ya 8-12 kwenye ligi. Tusubiri tuone kama Arab Money ita-deliver performance.
Kina nkunku na Werner heheheheMan city vs RB Leipzig
Round 16 CL