Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Ukiangalia pep ailkuwa kasha underestimate Everton ,ndiobmaana alirellax baada ya kuongoza goli 1 ...Sjui ndo too much confidence
Harafu anatakiwa kurudisha attacking winger cancelo &walker ...huu ujinga wa kuacha bench wanaume kama Hawa ambao wametufikikisha mbali kwenye CL ni ujinga ....
Everton deserve this ,tuliwachukulia poa. ,kuanzia dakika ya Kwanza Hadi ya 70 ,walipochomoa ..
Hope pep kajifunza Sasa ....
Ederson kila shots on target ni goli ,worst Goalkeeper ever [emoji1786]