Hivi wewe saint ettiene unapata wapi ujeuri wa kuendelea kuzurura humu?Nyie hata Ihefu inawapiga vizuri nje ndani
Wafalme wa matakataka labda!Hivi wewe saint ettiene unapata wapi ujeuri wa kuendelea kuzurura humu?
unang'ang'aniza tuwe levo moja wakati nyie ni matakataka na sisi ni wafalme wa soka la uingereza..
sisi ni wabaya sana.
Ok sawa ni offside tuambie ni kwanini mmepiga shot one target 1 tu mpaka mpira unaisha?Mchezaji akiwa offside akaruka mpira Moja kwa Moja kahusika kwenye build up .....
Kuna game yetu na nyie nakumbuka frenandihno alipiga shuti ,aguero alikuwa offside lakin hakugusa aliuruka mpira ,na mpira ukaingia nyavuni ,lakin walismema ni offside.....
Kwanza kitendo cha rashford kuwa offside ilikuwa filimbi ipigwe mpira ustop [emoji1786][emoji1786][emoji1786]
.Ok sawa ni offside tuambie ni kwanini mmepiga shot one target 1 tu mpaka mpira unaisha?
Et unaambiwaUnaambiwa Rashford hakugusa mpira wala kugusana na mchezaji yoyote wa City . R10 akamuachia Bruno Auguse mpira. Angalia vizuri replay,utamuona R10 anauruka mpira na kumuachia Bruno akafunga goli
Hawa wenzetu wanasoma darasani sio kama sisi wachezaji wetu hawaelewi sheria n kanuni. Nilimuona Bruno anamlalamikia linsemen kana kwamba anajua kilichotokea.
Hakuna offside hapo
Asa nan amfanyie hyo kazi , yeye kutafuniwa tuu hao ndo wale wale akina Diego Costa , Lukaku hata kutuliza mpira hawajui , wanategemea midfielder na wingers wahenyeke wao waotee Kwa kumalizia , ujinga huoHaaland sio mzuri kwenye ball control,so kwenye build up sio mzuri ,kupress vile vile sio mzuri .....
Yeye anajua kumalizia tu ....
Sasa inatakiwa mfumo wa kuendana nae ....
Leo halland old fashion[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamanii si kafungaa kila mechii huyooo toka msimu unaanza.. Man city bhana kuweni wapolee ilaa tu kuhusu ubingwaa sahaunii maana inaweza kuwatesa sanaa ila mnatusindikiza Man u[emoji13]Kiukweli kwa mpira tunaocheza, Harry kane ndio alikuwa chaguo sahihi kabisa.
Ukiachana na uwezo wake wa kufunga, anatengeneza nafasi za kufunga pia na ana uwezo mzuri wa kuplay part kwenye build up.
mtu kama huyu angetufaa pale mbele.
Haaland yeye ni wale old fashioned strikers ambao wanasubiri final passes waweke kambani na si zaidi ya hapo.
uwepo wa mtu kama huyo kwenye timu inayocheza pasi nyingi kunapunguza ile fluidity ya uchezaji wa timu.
ndicho kinachotokea city
sasahivi.
Toka msimu huu uanze, ile signature style of play ya man city ya misimu yote haipo tena.
Timu inacheza kwa kutegemea kumlisha haaland huku yeye mwenyewe akiwa yupo tu pale kati anasubiri kufanya tap in.
Timu ikibanwa, haaland anakuwa useless.
Kiukweli kama tukiendelea kustick kwenye huu mpira wa pasi nyingi basi alvarez ndio atatufaa zaidi.
Ana uwezo wa kutengeneza nafasi, ana high pressing ability na ana uwezo wa kufunga.
Ama tuswitch kwenda kwenye direct football ambao ndio style inayofaa zaidi kwa mastraika aina ya haaland.
He can't!!!
Haaland ni clinical finisher hilo halina ubishi.Leo halland old fashion[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jamanii si kafungaa kila mechii huyooo toka msimu unaanza.. Man city bhana kuweni wapolee ilaa tu kuhusu ubingwaa sahaunii maana inaweza kuwatesa sanaa ila mnatusindikiza Man u[emoji13]
Endelea kuumia Kwa Maumivu ya Jana na badoBeating city is not for everyone.
IndeedDuh! Yaani forum yenu ninyi Shitty hata pages 1000 bado kufika?!
Manchester is RED!