The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Kwa wale wadau wote wadau wa the blues hapa wajameni
COME ON CITY
search
 
Manchester City mmejiandaaje na safari ya UEFA, nawatakia kila heri. Mnapenda mbaki ila hamna budi kuondoka.
Safari Njema mabingwa watetezi wa England.
 
Leo burnley ni kuitangazia njaa tu hakuna cha ziada piga hao.. Come on city..
 
bye bye City, Waarab watauza timu muda si mrefu na mtarudi Championship. Mungu aliwapa nafasi kadhaa za kumfukuza Chelsea hadi mwisho. Lakini ndio hivyo uyoga huwa unanyauka kiangazi, Chelsea nao watawafuata muda si mrefu.
 
Back
Top Bottom