Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,445
- 205,933
Kweli mkuu huu mpira wanaopiga city ni mkubwa sana, timu naiona mbali ata ligi ya mabingwa inauwezo wa kutoa upinzani mkubwa sana....Wazee nyie ndio mabingwa EPL sijaona wa kuwa stopisha
Go go go mpira mkubwa sana mnao