The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Wakuu huu mpira tuliopiga ni mkubwa mno STK tumewaonea sio siri anachofanya Pep sio kitu kizuri pale England
Screenshot_2018-03-13-00-59-48-1.png
 
Wakuu tumebakiza Game 3 kushinda ili kutangaza ubingwa wetu wa taji la ligi, game ya tatu tunakutana na hasimu wetu Man U pale Etihad.

Je man U atakubali tuchukue ubingwa mbele yake? Hili swali jibu lake ata mimi naogopa kulitoa ila tumuombee City ashinde hizi game zake mbili za kati ila tuweze kushuhudia final ya EPL

Manchester City VS Manchester United....

NB: Nimeiita fanal kutokana na ugumu wa game utavyokua, sio kwamba man U akishinda atakua ndio bingwa au City akipoteza ndio sio bingwa tena...
 
Back
Top Bottom