The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

tevez kalipitia kombe kwa denge, kwani January ikifika nae atatua SANSIRO huku akiwa na jezi ya AC Milan ambako ndiko atakapoenda libeba rasmi.

Sasa mkaweke masaburi chini then muangalie tena timu ya kuhamia, kwani naamini humu JF hakuna mshabiki wa Man City aliekuwa anaishabikia timu hii kipindi kile cha akina Benjani Mwaruwaru.

Woote wanaoshabikia Man City wamekuja na dege la kimanga.
 
tevez kalipitia kombe kwa denge, kwani January ikifika nae atatua SANSIRO huku akiwa na jezi ya AC Milan ambako ndiko atakapoenda libeba rasmi.

Sasa mkaweke masaburi chini then muangalie tena timu ya kuhamia, kwani naamini humu JF hakuna mshabiki wa Man City aliekuwa anaishabikia timu hii kipindi kile cha akina Benjani Mwaruwaru.

Woote wanaoshabikia Man City wamekuja na dege la kimanga.

hehehe...... G chomba
 
Hawa waarabu bado sana, wakajipange upya au wakaendelee na level yako akina wigan
 
tevez kalipitia kombe kwa denge, kwani January ikifika nae atatua SANSIRO huku akiwa na jezi ya AC Milan ambako ndiko atakapoenda libeba rasmi.

Sasa mkaweke masaburi chini then muangalie tena timu ya kuhamia, kwani naamini humu JF hakuna mshabiki wa Man City aliekuwa anaishabikia timu hii kipindi kile cha akina Benjani Mwaruwaru.

Woote wanaoshabikia Man City wamekuja na dege la kimanga.

we subiri safari yako wakati wamtoano sawa baba G Chomba :lol:
 
Hawa waarabu bado sana, wakajipange upya au wakaendelee na level yako akina wigan

ngoja kwanza tuchukue ndoo la epl halafu mwakani uone shughuli yake mpaka nusu kwenye champions..:lol::lol::lol:
 
article-2071223-0F187E3000000578-121_634x378.jpg



Out: Sergio Aguero on the floor after City's Champions League campaign ends


article-2071223-0F187F0200000578-243_634x455.jpg



City sickener: Vincent Kompany can't believe City failed to go through


article-2071223-0F187DCC00000578-771_634x426.jpg



Euro woe: Aguero and company now looking ahead to the Europa League


Khe khe khe kheeeeeeeeeeeecondemned to the europa cup

Thats what it means to the players ... ...


mkuu wacha1 gemu ya jana ilikuwa haina umuhimu wowote kwani tulibugi kupoteza na wale napoli basi tungetoa droo ilikuwa tuwembali lakini poa mafanikio tuliyoyapata ni makubwa sana baada ya miaka zaida ya 30 ndio tumeingia champions league sio mbaya tutafika tu..

:shock::shock::shock::shock:
 
mkuu wacha1 gemu ya jana ilikuwa haina umuhimu wowote kwani tulibugi kupoteza na wale napoli basi tungetoa droo ilikuwa tuwembali lakini poa mafanikio tuliyoyapata ni makubwa sana baada ya miaka zaida ya 30 ndio tumeingia champions league sio mbaya tutafika tu..

:shock::shock::shock::shock:

Shika adabu yako...
Napoli sio Norwich au Blackburn mnaowatwanga 6.

Napoli ni Sugu.
Napoli ni Jeuri.
Napoli ni Sumu.
 
we subiri safari yako wakati wamtoano sawa baba G Chomba :lol:

Mi we wala huniumizi kichwa, umenizidi pointi mbili na najuwa mpaka tunaingia JanuaRy ntakua kileleni
 

Attachments

  • Boateng.jpg
    Boateng.jpg
    29.4 KB · Views: 25
Mi we wala huniumizi kichwa, umenizidi pointi mbili na najuwa mpaka tunaingia JanuaRy ntakua kileleni

halafu huyu jombaa yule braza ake nilimaindi kuhama chama basi tu..
vibibi bado mnavyo mtavibebea mbereko gani..
 
leo gemu itakuwa ngumu ila tunachohitaji ni ushindi tu droo ikibidi mata akiongea na media gonga hapa Goal.com
 
mchezo wa leo
Game: Chesea v City
Venue: Stanford Bridge
Time: 8:00 PM (23:00 Tz)
Referee: M Cluttenburg

viva la city..
 
ManCity_2609_304x337.jpg


Leo ndio mtamkumbuka Carlos ... .... ....
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
ManCity_2609_304x337.jpg


Leo ndio mtamkumbuka Carlos ... .... ....
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


....Yaani jamaa wamefanya makosa makubwa kumtema Tevez, pamoja na matatizo yake lakini ni mfungaji mzuri sana. Hii mechi ya leo itakuwa kali sana, nahisi kutakuwa na draw. Sijui kama hawa wenye malaria wamepata ahueni au bado wanasumbuliwa na malaria sugu.
 
Was there any player like Carlos .... .... .... ... nay.


Chelsea-v-Man-City-Mario-Balotelli-goal_2690377.jpg


Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom